Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu muulize Missy Gf akwambie huo mkesha utakuwa ni wa nn 😅😅.....au unadhani ni wa maombi?🤣🤣🤣Si muoaji anasema nyie mtakuwa mnakesha Kwa maombi Ili kupambana na wanga wa penzi lenu,ndio namwambia sisi tunataka wapwa hayo mambo ya mkesha peleka kawe😁😁
Tuko pamoja. Tena wewe tutakupa kipaumbele Cha kuchagua jina la first born wetu 😅Hapo sawa shemeji
Afanye usafi kwani alichafua mwenyewe,sometimes unasaidia..
Wanyakyusa toka lini wakawa maflatKama anamsabwandaah,vumilia...kama flat kama shemeji zangu wanyakyusa fukuza,Tafuta maajabu! Hutajuta.
Nimeangalia Id yako..basi sitakujibuVijana Kama nyie ni mzigo kwa Taifa in Magufuli’s voice
Hayo Sasa ndio mambo tunataka yasikia😁Kwani unahisi tutakuwa tunakesha tukifanya nn? 😅😅😅😅
Tukitoka honeymoon, mdogo wako anaanza clinic
Basi andaa na vinepi kabisa 😅Hayo Sasa ndio mambo tunataka yasikia😁
Ila 0659 wanatoaWengi wao ni seedco a.k.a mbegu fupi.
Alaf wakichukia wanajitundika chap. Atawezana?