Alice Gisa
Senior Member
- Sep 6, 2014
- 172
- 417
Kuna pombe noimeogopa kutest. Wanachanganyiwa na kitu Kama juice ya miwa na tangawizi ni mkorogo mmoja hivi. Wakimywa Wanataka jasho jingiii.Wakenya wengi wananusa gundi na petrol na wanakunywa changaa wamekata tamaa ya maisha ,kenya unakuta watu wamevaa suti na tai wanakwenda kwa mabanda kukunywa mataputapu na changaa
Huyu anakulisha wewe na ukoo wako wote, hadi mzeeke! π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£cheki mademu wa kenya kinyesi nje njeView attachment 1946394
Sasa kama tiketi ni finje, si hata watoto wadogo wanaweza afford? πBΓ©er zimetofautiana bei Mzee,
Hizi Lite ndio zinaunzwa from 1500/- (70ksh) pamoja la local lager zenye ujazo mdogo like 350mls.
Lager kubwa zinaanzia 2000 hadi 3000ts kwa Local bΓ©er, imported lager zinaanzia 3000k na kuendelea. Huku Imported zina kodi kubwa kuliko local, na pia cost of production iko chini a reason bei za vyombo ni kawaida sana,
Besides, wengi Bado wanatumia lager na imported kuliko lites,
Tazama hapa siku ya simba day juzi watu tunajilipua halafu tuingie uwanjani na Vibe, suala la kuwa bei ndogo haihusiani na watu kumudu, bongo watu wana pesa za matumizi, a reason wanajaza uwanja wa Taifa kwa viingilio
View attachment 1946636
View attachment 1946637
View attachment 1946638
Vipi issue ya Gongo, bado unakunywaga ama ulipewa daawa ya babu wa Loliondo ukawacha uraibu? π π π π πWakenya wengi wananusa gundi na petrol na wanakunywa changaa wamekata tamaa ya maisha ,kenya unakuta watu wamevaa suti na tai wanakwenda kwa mabanda kukunywa mataputapu na changaa
Sasa wewe huko sio club, kumbe una chenji ndo maana huendi kwa wazito! π€£Kuna pombe noimeogopa kutest. Wanachanganyiwa na kitu Kama juice ya miwa na tangawizi ni mkorogo mmoja hivi. Wakimywa Wanataka jasho jingiii.
wacha kabisa kunywa spirits ukiwa Kunyaland wanachanganya na formalin (dawa ya kuhifadhi maiti)! Unaweza kuharibu figo! Kunywa beer tu ndo kinywaji salama maana si rahisi ku-brew beer mtaani!Kuna pombe noimeogopa kutest. Wanachanganyiwa na kitu Kama juice ya miwa na tangawizi ni mkorogo mmoja hivi. Wakimywa Wanataka jasho jingiii.
Basi hiyo pombe ndiyo mbadara wa kuoga [emoji1787][emoji1787]wakitoka jasho wanajifuta wanakwenda kulalaKuna pombe noimeogopa kutest. Wanachanganyiwa na kitu Kama juice ya miwa na tangawizi ni mkorogo mmoja hivi. Wakimywa Wanataka jasho jingiii.
Mara zengine hua unaclaim umefika Kenya mara kadhaa alafu saa zengine unatoa statements kama hizi ambazo zinadhihirisha wazi haujawahi kukanyaga Kenya...wacha kabisa kunywa spirits ukiwa Kunyaland wanachanganya na formalin (dawa ya kuhifadhi maiti)! Unaweza kuharibu figo! Kunywa beer tu ndo kinywaji salama maana si rahisi ku-brew beer mtaani!
BΓ©er zimetofautiana bei Mzee,
Hizi Lite ndio zinaunzwa from 1500/- (70ksh) pamoja la local lager zenye ujazo mdogo like 350mls.
Lager kubwa zinaanzia 2000 hadi 3000ts kwa Local bΓ©er, imported lager zinaanzia 3000k na kuendelea. Huku Imported zina kodi kubwa kuliko local, na pia cost of production iko chini a reason bei za vyombo ni kawaida sana,
Besides, wengi Bado wanatumia lager na imported kuliko lites,
Tazama hapa siku ya simba day juzi watu tunajilipua halafu tuingie uwanjani na Vibe, suala la kuwa bei ndogo haihusiani na watu kumudu, bongo watu wana pesa za matumizi, a reason wanajaza uwanja wa Taifa kwa viingilio
View attachment 1946636
View attachment 1946637
View attachment 1946638
Boss, unaishi nairobi gani? Jonny walker na jameson za kariobangi zimejaa top clubs za tao. Ama wewe ni mgeni mjini?Mara zengine hua unaclaim umefika Kenya mara kadhaa alafu saa zengine unatoa statements kama hizi ambazo zinadhihirisha wazi haujawahi kukanyaga Kenya...
Mambo ya formalin na hizo spirits unazoongelea ni traditional alcohol amabazo zinatengezewa huko vibandani kwenye vitongoji duni na watu wanakunywa pombe ya shilingi kumi kumi..... You will never get that kind of alcohol in any bar in Kenya, hizo ni unregulated alcohol ambazo hazina lebo wala chupa, ni sawa sawa na mtu amefarment mahindi au miwa pale kijijini, sasa sijui kama hayo ndo hua ni mambo yako manake spirits zinazouzwa kwa bar ni manufatured, infact, zengine ambazo hua mnakunywa huko Tz hua zimetengenezwa Kenya ! So kumwambia mtu asikunywe spirits Kenya inaonyesha haijawahi kufika Kenya.
Mimi natumia gongo inaitwa dompoVipi issue ya Gongo, bado unakunywaga ama ulipewa daawa ya babu wa Loliondo ukawacha uraibu? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yes, hiyo ni muhim sana, ni kama apetisser
Mi niko hapa chini ya mti na Leleshwa yangu... πMimi natumia gongo inaitwa dompo
Labda wakikuyu wenzako wakitoka ushago wakifika Nairobi ndio measure of success for themKenya the Europe of East Africa. Yani MTU kutoka east¢ral Africa akipata pesa bila kufika Nairobi uhisi kama vile hajatembea mji mkuu ipasavyo hadi akanyange na kutumia ile pesa jiji kuu la Nairobi.
Nairobi is a measure of success in East Africa
Nairobi is a measure of success in East and Central Africa. Mdanganyika akija Nairobi hiyo Siku halali sababu ya furaha.Labda wakikuyu wenzako wakitoka ushago wakifika Nairobi ndio measure of success for them
Magonjwa nje nje kivipi??..wakati condom hapo ndo zinapotumika kuliko kitu chochoteApetisser ni mkeo au mchumba wako basiii, hao unaokuta bar ni wanagawa kama pipi huoni magonjwa ni nje nje
Subiri wazoefu waje, mimi tangu niache pombe miaka kadhaa sasa mji wa Nairobi mida ya usiku huwa kama mgeni.
Ukiwa na hela yako na kama kweli wewe mjanja wa Dar mbona unakatiza katiza tu freshi, tafuta dereva wa taksi akuonyeshe mautamu yote ya mji.
Sasa kama tiketi ni finje, si hata watoto wadogo wanaweza afford? [emoji23]
Apetisser ni mkeo au mchumba wako basiii, hao unaokuta bar ni wanagawa kama pipi huoni magonjwa ni nje nje