Mademu wanakaa wanadanganyana mambo ya ajabu matokeo yake wanalia kilio cha mbwa

Hatukulagi mashemeji sisi... Hahahah kajijamaa kumbe nako kanawivu eeh? Nilidhani ana moyo wa chuma... Jamani ama kweli mkemia mkuu kazama dimbwini ...Cc husna muba
[emoji23] angejua nnavyolavu wala asingekuw na preshA[emoji23] [emoji23]
 
Hatukulagi mashemeji sisi... Hahahah kajijamaa kumbe nako kanawivu eeh? Nilidhani ana moyo wa chuma... Jamani ama kweli mkemia mkuu kazama dimbwini ...Cc husna muba
Hahaha.. ninja unamficha mke wangu saana kwenye stori zako siku hizi jikoni simu ipo mkononi.

Sipatagi notification zako.
 
Hahaha.. ninja unamficha mke wangu saana kwenye stori zako siku hizi jikoni simu ipo mkononi.

Sipatagi notification zako.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] halAfu mwisho Wa story anatuambia et ilikuwa ndoto[emoji17] [emoji17]
 
Hahaha.. ninja unamficha mke wangu saana kwenye stori zako siku hizi jikoni simu ipo mkononi.

Sipatagi notification zako.
Dooh, Itabidi tumuweke kikao, manake asije akakulisha vyakula vilivyochini ya kiwango
 
Kuna dem mmoja nshawahi kumuona ametoka ndani ndukii huku anajipepea papuchi, mpaka akili zilipomrudia ndo akagundua kumbe yuko nje tena adharani, ikabidi arudi ndani fasta kwa aibu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nililikuta huyu MTU mh anatisha sana atakuwA kiwembe balas
Usije ukalishwa tu viagraa za kike ukaja kuniuaa mwana wa mwenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…