Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,301
- 8,706
Hili ni kweli, Presenter kuna tone flani ya sauti inatakiwa uwe nayo, Mara nyingi watu hawasikilizi unachokisema bali unavyokisema hicho kitu unachosema!akiongea havutii kumsikiliza tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni kweli, Presenter kuna tone flani ya sauti inatakiwa uwe nayo, Mara nyingi watu hawasikilizi unachokisema bali unavyokisema hicho kitu unachosema!akiongea havutii kumsikiliza tena
Ni dude fluni KUUBWAAA!Huyo Madenge na Majizzo ndo kina Nani na EFM Ni dude gani?
Mwenye kujua anijuze tafadhali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah basi jamaa ni kilaza. Sas Forex Market na Crypto market, inakuwaje regulated na hizi central bank kwan wao ndio wamezitengeneza na wana central authority juu yake.Nimecheka leo. Niliona clip ya efm huyo madenge akizungumzia forex. Anasema forex haipo regulated na BOT, anazungumza kwa kujiamini kabisa tena kwa kurudia rudia alafu watangazaji Wenzake wale wanamsikiliza kwa makini mno kwamba anaongea point.
Forex haipo regulated na BOT??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anachanganya sana mafile, forex na crypto
Hujamalizia habari ya Gadna ...mkuuIt takes dakika 3 za maongezi kumjua mtangazaji hodari. Gadna G akiwasha maiki akasema Assalam aleykum akafanya introduction unajua huyu ni mwamba hata uwe ndio unamsikiliza kwa mara ya kwanza.
Mie pia nilimskia akisema hivo ila kwakuwa sina ujuzi na hayo mambo nikakubaliNimecheka leo. Niliona clip ya efm huyo madenge akizungumzia forex. Anasema forex haipo regulated na BOT, anazungumza kwa kujiamini kabisa tena kwa kurudia rudia alafu watangazaji Wenzake wale wanamsikiliza kwa makini mno kwamba anaongea point.
Forex haipo regulated na BOT??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anachanganya sana mafile, forex na crypto
Mie pia nilimskia akisema hivo ila kwakuwa sina ujuzi na hayo mambo nikakubali
Kwahiyo mkuu unataka kusema kuwa Forex ipo regulated na BOT?
Sasa SI ungeenda wewe Mbona na wewe unapaiga kelele humuKelele ni nyingi uko Twitter utasema Majizo kaokota dodo chini ya mwembe. Naufananisha usajili wa Madenge kama usajili wa Mbwana Samatta pale Aston Villa. Usajili mbovu halafu mbovu tena.
Imefikia watu wanamuweka level moja na big thinkers wawili yani Masudi Kipanya na Gerald Hando. Mnawakosea heshima awa mabraza wapo level nyingine kabisa.
Muda ndio hakimu mzuri huyu jamaa inawezekana ni mzuri kwenye ku-tweet ila taaluma na kufanya uchambuzi wa issues kwenye media inatakiwa uwe mtu haswa.
Bahati mbaya kwa kumsikiliza huyo mshikaji bado uwezo wake na upeo wake ni mdogo pia kina chake cha maarifa ni kidogo mno yani ukimtoa kwenye masuala ya marketing na financial analysis umemuacha mweupe kabisa. Kikubwa zaidi akiongea havutii kumsikiliza tena na tena na pia sio flexible.
Baada ya miezi mitatu Majizo atatafuta mtu mwingine wa ku-cover ilo eneo. La sivyo listeners watakimbia.
Bado mtaona mengi alafu mtapima wenyewe.Nimecheka leo. Niliona clip ya efm huyo madenge akizungumzia forex. Anasema forex haipo regulated na BOT, anazungumza kwa kujiamini kabisa tena kwa kurudia rudia alafu watangazaji Wenzake wale wanamsikiliza kwa makini mno kwamba anaongea point.
Forex haipo regulated na BOT??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anachanganya sana mafile, forex na crypto
Tunagawana majukumu mimi uku ndio kwangu.Sasa SI ungeenda wewe Mbona na wewe unapaiga kelele humu
FactsEdo kumwembe ni mwandishi mzuri ila havutii kutangaza.
Umemaliza kabisa edo ni mwandishi mzuri sana hana mpinzani eneo hilo ila kutangaza ni hovyo kabisa.Edo kumwembe ni mwandishi mzuri ila havutii kutangaza.
Wewe ndo hukuelewaNimecheka leo. Niliona clip ya efm huyo madenge akizungumzia forex. Anasema forex haipo regulated na BOT, anazungumza kwa kujiamini kabisa tena kwa kurudia rudia alafu watangazaji Wenzake wale wanamsikiliza kwa makini mno kwamba anaongea point.
Forex haipo regulated na BOT??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anachanganya sana mafile, forex na crypto
Shukrani, Acha nikaiptie namie
Edo alibahatika kupata wahariri generation ya kwanza au ya pili kwenye magazeti wakamnyoosha pamoja na ubunifu wake ila kwenye radio sasa hakuna tena wale wahariri makini hivyo wengi wanajiongoza tu.Edo kumwembe ni mwandishi mzuri ila havutii kutangaza.