Madenge wa Twitter ni usajili mbovu kuwahi kufanywa na Majizo wa EFM

Madenge wa Twitter ni usajili mbovu kuwahi kufanywa na Majizo wa EFM

Nimecheka leo. Niliona clip ya efm huyo madenge akizungumzia forex. Anasema forex haipo regulated na BOT, anazungumza kwa kujiamini kabisa tena kwa kurudia rudia alafu watangazaji Wenzake wale wanamsikiliza kwa makini mno kwamba anaongea point.

Forex haipo regulated na BOT??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anachanganya sana mafile, forex na crypto
 
Mimi nikipata muda kesho ntajaribu kumsikiliza bwana Madenge, nitarudi kumrate hapa.
 
Nimecheka leo. Niliona clip ya efm huyo madenge akizungumzia forex. Anasema forex haipo regulated na BOT, anazungumza kwa kujiamini kabisa tena kwa kurudia rudia alafu watangazaji Wenzake wale wanamsikiliza kwa makini mno kwamba anaongea point.

Forex haipo regulated na BOT??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anachanganya sana mafile, forex na crypto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah basi jamaa ni kilaza. Sas Forex Market na Crypto market, inakuwaje regulated na hizi central bank kwan wao ndio wamezitengeneza na wana central authority juu yake.
 
It takes dakika 3 za maongezi kumjua mtangazaji hodari. Gadna G akiwasha maiki akasema Assalam aleykum akafanya introduction unajua huyu ni mwamba hata uwe ndio unamsikiliza kwa mara ya kwanza.
Hujamalizia habari ya Gadna ...mkuu
 
Nimecheka leo. Niliona clip ya efm huyo madenge akizungumzia forex. Anasema forex haipo regulated na BOT, anazungumza kwa kujiamini kabisa tena kwa kurudia rudia alafu watangazaji Wenzake wale wanamsikiliza kwa makini mno kwamba anaongea point.

Forex haipo regulated na BOT??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anachanganya sana mafile, forex na crypto
Mie pia nilimskia akisema hivo ila kwakuwa sina ujuzi na hayo mambo nikakubali

Kwahiyo mkuu unataka kusema kuwa Forex ipo regulated na BOT?
 
Mie pia nilimskia akisema hivo ila kwakuwa sina ujuzi na hayo mambo nikakubali

Kwahiyo mkuu unataka kusema kuwa Forex ipo regulated na BOT?
20230504_161722.jpg
 
Kelele ni nyingi uko Twitter utasema Majizo kaokota dodo chini ya mwembe. Naufananisha usajili wa Madenge kama usajili wa Mbwana Samatta pale Aston Villa. Usajili mbovu halafu mbovu tena.

Imefikia watu wanamuweka level moja na big thinkers wawili yani Masudi Kipanya na Gerald Hando. Mnawakosea heshima awa mabraza wapo level nyingine kabisa.

Muda ndio hakimu mzuri huyu jamaa inawezekana ni mzuri kwenye ku-tweet ila taaluma na kufanya uchambuzi wa issues kwenye media inatakiwa uwe mtu haswa.

Bahati mbaya kwa kumsikiliza huyo mshikaji bado uwezo wake na upeo wake ni mdogo pia kina chake cha maarifa ni kidogo mno yani ukimtoa kwenye masuala ya marketing na financial analysis umemuacha mweupe kabisa. Kikubwa zaidi akiongea havutii kumsikiliza tena na tena na pia sio flexible.

Baada ya miezi mitatu Majizo atatafuta mtu mwingine wa ku-cover ilo eneo. La sivyo listeners watakimbia.
Sasa SI ungeenda wewe Mbona na wewe unapaiga kelele humu
 
Nimecheka leo. Niliona clip ya efm huyo madenge akizungumzia forex. Anasema forex haipo regulated na BOT, anazungumza kwa kujiamini kabisa tena kwa kurudia rudia alafu watangazaji Wenzake wale wanamsikiliza kwa makini mno kwamba anaongea point.

Forex haipo regulated na BOT??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anachanganya sana mafile, forex na crypto
Bado mtaona mengi alafu mtapima wenyewe.
 
Nimecheka leo. Niliona clip ya efm huyo madenge akizungumzia forex. Anasema forex haipo regulated na BOT, anazungumza kwa kujiamini kabisa tena kwa kurudia rudia alafu watangazaji Wenzake wale wanamsikiliza kwa makini mno kwamba anaongea point.

Forex haipo regulated na BOT??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anachanganya sana mafile, forex na crypto
Wewe ndo hukuelewa
 
Edo kumwembe ni mwandishi mzuri ila havutii kutangaza.
Edo alibahatika kupata wahariri generation ya kwanza au ya pili kwenye magazeti wakamnyoosha pamoja na ubunifu wake ila kwenye radio sasa hakuna tena wale wahariri makini hivyo wengi wanajiongoza tu.

Uliza akina Kitenge waliopita kwenye mikono ya Charles Hillary, Julius Nyaisanga, John Ngayoma n.k unapata strong basics
 
Back
Top Bottom