Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Madenge hivi bado yupo hapo Efm maana simsikii kabisaa au kabadilishiwa kitengo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nilivyosema wengine wakasema namchukia yule mlugaluga lakini muda umewapa majibu. Madenge kafurumishwa kwenye kipindi hana talent ya utangazaji.Madenge hivi bado yupo hapo Efm maana simsikii kabisaa au kabadilishiwa kitengo
Kweli muda ni hakimuKama nilivyosema wengine wakasema namchukia yule mlugaluga lakini muda umewapa majibu. Madenge kafurumishwa kwenye kipindi hana talent ya utangazaji.
Mdahalo wa chademaHuko X wanapika hatari, mdahalo wa juzi umemgharimu
Edo alibahatika kupata wahariri generation ya kwanza au ya pili kwenye magazeti wakamnyoosha pamoja na ubunifu wake ila kwenye radio sasa hakuna tena wale wahariri makini hivyo wengi wanajiongoza tu.
Uliza akina Kitenge waliopita kwenye mikono ya Charles Hillary, Julius Nyaisanga, John Ngayoma n.k unapata strong basics
Ni proffesional watu wana kwenda hadi chuo kusomaKutangaza ni kipaji
Hana upeo wa kufanya mdahalo, followers wengi wa twitter wanamdanganya.Huko X wanapika hatari, mdahalo wa juzi umemgharimu
NdioMdahalo wa chadema