Madenge wa Twitter ni usajili mbovu kuwahi kufanywa na Majizo wa EFM


Huwa anachanganya "a" na "h" mfano upo wapi ataandika hupo wapi? "Amesema" ataandika "hamesema"... Sasa na hicho kithethe kwenye kutangaza ndio shida zaidi... bora kwenye kuandika.... angekuwa mjanja angewahi mapema kuanzisha online media yake ili watu wamfanyie kazi otherwise anapoelekea tutaona mapungufu yake mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…