Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ya deni ni kulipa.Mie tangu asubuhi nimekaaa chini kabisa hata kwenye kiti hakukaliki kitandani hakulaliki nawaza sa itakuaje 😅😅😅
UnabetHiyo 500 unaifanya nini mkuu, maana hali tete
Kulipa kama huna hela je 😅😅😅hakuna asietaka kulipa deniDawa ya deni ni kulipa.
Unazitafuta, ila madeni ni changamoto sana, ukiwa na hela mdeni wako hata akutafuti😄😄 ngoja ukaukiwe hela uone sijui kuna uhusiano ganKulipa kama huna hela je 😅😅😅hakuna asietaka kulipa deni
Unamchangia muhindiHiyo 500 unaifanya nini mkuu, maana hali tete
Ingakuwa rahisi kama alivyocomment hapo tusingeona matusi kwenye ulw uzi wa betting. Wala watu kulalamika ajira hasa vijanaUnabet
Hapo unaenda kuongeza tuu mawazo ya madeni yako. Maana kumchangia mhindu kunatia stress kuliko hata madeni yenyeweUnamchangia muhindi
Jero tu mkuu jaribu bahati yakoHapo unaenda kuongeza tuu mawazo ya madeni yako. Maana kumchangia mhindu kunatia stress kuliko hata madeni yenyewe
Kama hapa nimepigiwa na watu wa3 wote wananidai yani simu zimeongozana km wamebizaaUnazitafuta, ila madeni ni changamoto sana, ukiwa na hela mdeni wako hata akutafuti😄😄 ngoja ukaukiwe hela uone sijui kuna uhusiano gan
Punguza kukopa na wewe, unakopa watu watatu?Kama hapa nimepigiwa na watu wa3 wote wananidai yani simu zimeongozana km wamebizaa
Tuko wengi mkuu,mimi mwezi huu nimegundua kumbe usiku unaweza kulala kwa chai na maandazi 2 tu na usingizi unakuja...Naona siku zinaenda ila mpunga unaenda kwa haraka zaidi
Sasa sijui huu mwezi unaisha kwa style gani, sioni mahali pa kukopa, madeni yaliyopo tayari siyaelewi elewi
majukumu yanazidi..nahisi kudata!
Kwenye ahueni kidogo ni wapi aiseeee?
Sasa maisha yalikua magumu nisikope nifePunguza kukopa na wewe, unakopa watu watatu?
Kula mchana ni anasaTuko wengi mkuu,mimi mwezi huu nimegundua kumbe usiku unaweza kulala kwa chai na maandazi 2 tu na usingizi unakuja...
kabisaTuko wengi mkuu,mimi mwezi huu nimegundua kumbe usiku unaweza kulala kwa chai na maandazi 2 tu na usingizi unakuja...