Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Umepokea😂 ?Kama hapa nimepigiwa na watu wa3 wote wananidai yani simu zimeongozana km wamebizaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepokea😂 ?Kama hapa nimepigiwa na watu wa3 wote wananidai yani simu zimeongozana km wamebizaa
Huu mwaka sikopi kabisa, madeni yakikuzoea yanaweza kukufanya usiendelee. Kuna watu wengine wanatuingiza kwenye madeni kwa lazima, imagine unaenda kuchukua bidhaa kwa mtu then anakuambia we hela kaa nayo tu utanipaSasa maisha yalikua magumu nisikope nife
Mimi nilijua ni peke yangu kumbe tupo wengi mmenitia moyo sana hali ni ngumu sana isee..Mie tangu asubuhi nimekaaa chini kabisa hata kwenye kiti hakukaliki kitandani hakulaliki nawaza sa itakuaje 😅😅😅
Kuwaza muhimu aiseeeMie tangu asubuhi nimekaaa chini kabisa hata kwenye kiti hakukaliki kitandani hakulaliki nawaza sa itakuaje 😅😅😅
Friji yenyewe inakudai uijazeUkigeuka uku Deni,ukienda Deni,ukungua simu Deni,mpaka unaogopa kufungua ata friji
Heeee bora madeni ya hivyo 😊😊Huu mwaka sikopi kabisa, madeni yakikuzoea yanaweza kukufanya usiendelee. Kuna watu wengine wanatuingiza kwenye madeni kwa lazima, imagine unaenda kuchukua bidhaa kwa mtu then anakuambia we hela kaa nayo tu utanipa
Mbili nimepokea ni waelewaUmepokea😂 ?
Kabisa huu ni ukweli 💯Unazitafuta, ila madeni ni changamoto sana, ukiwa na hela mdeni wako hata akutafuti😄😄 ngoja ukaukiwe hela uone sijui kuna uhusiano gan
Usijali tupo wengi kitu kizuri uaminifu kwa wanaotudai pia majibu mazuriNaona siku zinaenda ila mpunga unaenda kwa haraka zaidi
Sasa sijui huu mwezi unaisha kwa style gani, sioni mahali pa kukopa, madeni yaliyopo tayari siyaelewi elewi
majukumu yanazidi..nahisi kudata!
Kwenye ahueni kidogo ni wapi aiseeee?
Bado natafiti kuna uhusiano gan ukiwa huna hela na mdeni kuhitaji hela yake.Kabisa huu ni ukweli 💯
😂😂😂 jitahidi ulipe, uwe na amani. Kuna mda simu unaiona chunguMbili nimepokea ni waelewa
Huyo mmoja ana mdomo sana sijapokea siko na muda wa kuongeza stress
Hayo mimi siyataki tenaHeeee bora madeni ya hivyo 😊😊
Kuna yale ya lazima huna option yani
Ntalipa tu Insha’Allah😂😂😂 jitahidi ulipe, uwe na amani. Kuna mda simu unaiona chungu
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi maana kuna wengine wamekimbizwa na madeniNtalipa tu Insha’Allah