Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Tenda ya kuzalisha vipeperushi vya CCM wakati wa kampeni za mwaka 2020 ilikuwa ni kubwa, hivyo ikatulazimu kukopa ili tuweze kutimiza lengo la mahitaji tukitaraji kuwa baada ya mwezi fedha ingerudi, lakini hadi sasa hakuna tulicholipwa" Salum Mussa
Kwa kuwa Uhuru Media Group ni kampuni ya CCM, tunakiomba chama kuingilia kati suala la madai yetu ya kuzalisha vipeperushi vya CCM mwaka 2020. Tutaandika barua ya mwisho ya kutaka kulipwa, tusipopata mrejesho mzuri tutakwenda mahakamani" Salum Mussa
Eliatosha Muganyizi: Tunamuomba Mhe. Rais Mama aingilie kati suala la madai yetu, tunapitia kipindi kigumu sana sisi ambao tuliingia mkataba wa kuzalisha vipeperushi vya Chama cha Mapinduzi wakati wa kampeni mwaka 2020 lakini hatujalipwa hadi sasa"
Elifadhar Mdassa: Tumefilisika na hali zetu kiuchumi sio nzuri, tulivyotarajia katika kazi hii, imekuwa ni kinyume chake. Ahadi tunazopewa hazikidhi mahitaji yetu kwa sasa
Kwa kuwa Uhuru Media Group ni kampuni ya CCM, tunakiomba chama kuingilia kati suala la madai yetu ya kuzalisha vipeperushi vya CCM mwaka 2020. Tutaandika barua ya mwisho ya kutaka kulipwa, tusipopata mrejesho mzuri tutakwenda mahakamani" Salum Mussa
Eliatosha Muganyizi: Tunamuomba Mhe. Rais Mama aingilie kati suala la madai yetu, tunapitia kipindi kigumu sana sisi ambao tuliingia mkataba wa kuzalisha vipeperushi vya Chama cha Mapinduzi wakati wa kampeni mwaka 2020 lakini hatujalipwa hadi sasa"
Elifadhar Mdassa: Tumefilisika na hali zetu kiuchumi sio nzuri, tulivyotarajia katika kazi hii, imekuwa ni kinyume chake. Ahadi tunazopewa hazikidhi mahitaji yetu kwa sasa