Madeni ya Taifa: Kuna kitu very serious CAG amekisema. Hii kitu haiko sawa. Je, tunakwenda wapi?

hakuna haja ya kuwa na bunge la bajeti, ngosha anatosha kuandaa bajeti na kuitekeleza

Kuna sehemu niliuliza hivi kuna haja gani ya kodi zetu kutumika kugharimia watu karibu 400 Dodoma kwa miezi mi4 kujadili kitu ambacho hakiheshimiwi na hakitusaidii kwa lolote?
 
CAG hawezi pewa hizo hela coz ataenda kukagua zile ndege zetu ambazo siku sionyingi tutazipeleka kule tulikopeleka ile meli, ili msitufuate fuate na maneno yenu ya uchokonozi
 
bajeti ya CAG 2015/16 ilikuwa karibu 80 bilioni kwenye hiyo stationary bajeti ya stationary tu ilikuwa 30% rim moja ikiwa imewekwwa dollar 110 kwa rim na biki dola 60
Wewee, ukitaka kumtetea Juma Maharage wako wewe mtetete tu huna haja ya kutengeza legitimacy entry, nimefanya kazi serikalini more than 20 years tena katika taasisi tofauti. Hakuna afisa bajeti mjinga akaweke rim 1 ya karatasi zinazouzwa 10,000+ kuwa 200,000+. Kweli watu wanapiga serikalini lakini sio hivi. Wacha uzushi.
 
Miaka ya hivi karibuni ofisi za cag zmekuwa zitumwa na wanasiasa kufanya ad hock auditing kinyume na katiba iliyoanshwa idara hiyo.Hapo ndo wanaoneka mhimu.Hizo auditng zingweza kufanywa na wakaguzi wa ndani ili cag andelee na majukumu ya kikatba
 
Hili jambo halijakaa sawa kabisa, sijui tunaelekea wapi kama taifa, isijekuwa kiongozi mkuu tunayemwamini ndio akatuangusha vibaya mno tushindwe kusimama tena
 
Mimi sijawahi fanya kazi huko kwa watu wazembe wa serekalini, but huku private mkishaandaa budget na ikawa approved kila quarter huwa kuna forecast ambapo hii forecast inaoveride original budget
 
Hii ni taarifa muhimu ya kujua tuko wapi na tunaelekea wapi.
 
Naomba nieleweshe kidogo hivi CAG katika kukagua anatumia budget ya Other Charges? Mi nikajua hii OC ni kwa ajili ya vitafunwa na mambo madogo madogo ya ofisi lakini sikujua ndo inatumika kwenye main objective ya taasisi, yaani ni kama wizara ya ujenzi itumie OC kujenga madaraja, naomba msaada tu mimi huko kwa wazembe wa serekali sijawahi fanya kazi
 
la ofisini standing .
 
Ukijaribu kumsoma, unatambua bayana hata yeye haitaki tena kazi hiyo. Huyu mzee ni makini hapendi dharau.
Tatizo la watanzania wengi ni immaturity, Assad ni moja wao, na uhakika hajawahi fanya private sector walahi asingepanda hata ngazi moja tatizo JK kamuokota huko kutoka Chuoni bila kuangalia level ya maturity yake!!!!
 
Pascal,mi kwa uelewa wangu mdogo naona kazi kubwa ya CAG imetawaliwa na MASWALA YA UCHUMI,tujuilize je mkuu anaufahamu mkubwa juu ya mswala ya uchumi? Hasa hasa katika nchi kama hii ambayo uchumi wake uko kwenye brackets()? Uchumi ambao unahitaji combination ya muundo wa zamani na wa kisasa kuikwamua?

Paskali,kuwa mkuu wa inji,si mchezo! Si kukoroma ukadhani ndio kufanya kazi,inahitaji ufahamu mwingi wa mambo mbali.
Nina wasi wasi kitakacho fuata hapa ni kubadilishwa kwa CAG.
 
Leo umeamkia wapi pascal. Naona umeamua kuweka mahaba pembeni. Katika utendaji ikiwa wizara moja inafikia asilimia 200+ na nyingine 16 hapo huwezi kuisifia hiyo serikali hata kidogo. Hongera kwa kuweka unazi pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…