Madeni ya Taifa: Kuna kitu very serious CAG amekisema. Hii kitu haiko sawa. Je, tunakwenda wapi?

So kuna point gani ya kuwalipa wabunge hela zote kumbe wanajadili tu upupu? basi tusiwe na bunge au tubadili vigezo vya mtu kuwa mbunge??
Tulishaomba siku nyingi juu ya ubora wa wabunge. Uganda huwezi kuwa mbunge bila academic degree, Kenya sikumbuki sana lakini hawa ndo tulionao EAC. Wao wanaweka vigezo vya juu sisi tunasema kusoma na kuandika, hata kuhesabu haimo! Watu kama hao ndo watupangie sera za nchi? Watunge sheria za nchi? Wachanganue mitego ya ulaji kama hiyo ya chai maofisini?

sasa eti wakishapitisha wewe mkuu wa nchi ufuatishe hivyo hivyo! NO!
 
Miaka ya hivi karibuni ofisi za cag zmekuwa zitumwa na wanasiasa kufanya ad hock auditing kinyume na katiba iliyoanshwa idara hiyo.Hapo ndo wanaoneka mhimu.Hizo auditng zingweza kufanywa na wakaguzi wa ndani ili cag andelee na majukumu ya kikatba
Mkuu ni bora kukaa kimya tu,acha kupotosha!rudi kasome tena katiba pamoja na sheria ya ukaguzi wa umma na kanuni zake,acha maneno maneno
 
CAG anafanya kazi ya wapizani!!!¡
,yeye kila siku ni kukosoa tu serikali!!!!!! ikibidi ifutwe kubana matumizi!!!!!!
 
NIONYESHE MIMI SIONi
Umeangalia kiwango cha deni la Taifa ukilinganisha deni lililokuwepo na hili la sasa? Shule yako ya jirani watoto wangapi bado wanakaa chini? Ndege si tunazo sasa, je, umegundua nauli ya kukupeleka KIA na kurudi kwa fastjet sasa hivi siyo 1Mil? Nahisi hata mkopo wa bandari mpya ya Bagamoyo umezimwa kinyume na ilivyopitishwa na Bunge. Logical!
 
labda niulize swali rahisi serikali gani ambayo ilienda sawaswa kama ilivyopangwa? yapo mapungufu makubwa katika eneo hili ambayo kikawaida hayaanzii katika serikali tu bali toka katika familia zetu wengi hatuna matumizi tunayokusudia.
haijalishi baba mwenye nyumba ni mkali kiasi gani lakini kilicho sicho ni vizuri ashauliwe na sio kunyamaza eti unaogopa kazi itaisha.
serikali iliyopita tulifikia hata kuhesabu safari za rais na hakuna aliyeangalia positive impact ya safari hizo na ingawa siko huko lakini zilizidi budget.
serikali bado inabadget tano ndo kwanza ya kwanza wacha tuone nini kitafuata kwa budget ijayo nafikiri taratibu ataelewa.
 
Ni vyema bunge luweze kuchukua hatua kali sana dhidi ya wote wanao geuza bajeti ya nchi kuwa kama bajeti ya send-off, kwa sababu haiwezekani bunge liwepange bajeti halafu watu wachache waivuruge kutokana na hisia zao
 
Pasco, bandiko reefu, ukweli ni kuwa tatizo kubwa ni Bunge lenyewe, limeshindwa kujitambua na kutimiza wajibu wake, limekubali kujidhalilisha na sio ajabu halina heshima kwa serikali na watendaji wa serikali, Bunge limekubali dhihaka hii, linekubali kung'olewa meno na sasa halina umuhimu, limepoteza hadhi.

Vv
 

Kaisome Cap 439 kwanza halafu urekebishe habari yako. Wewe si lawyer?
 
Ole wake Mbunge wa CCM atakayekosoa Serikali,atakiona cha moto,nahata wale wanaowapa Muda wapinzani watakiona cha moto.

Mpaka hapo bado una Bunge au Una mfano wa Bunge?
Mkuu sio kweli, unadhani kwa nini CCM waliamua 'kumsamehe' Kimbisa? Hawajiamini kama wangeweza kutetea kiti chake cha ubunge.

Vv
 
  1. Mhimili uliojikita kuliko yote upo kazini. Waganga njaa wanaweza kikaa kimya ili njia ya kwenda msalani isiote nyasi.
  2. Kwa Mwendo huu, anaweza kuona waliomzinguka wakiimba, kumbe moyoni wapo kwenye mgomo baridi.
 
  1. Mhimili uliojikita kuliko yote upo kazini. Waganga njaa wanaweza kikaa kimya ili njia ya kwenda msalani isiote nyasi.
  2. Kwa Mwendo huu, anaweza kuona waliomzinguka wakiimba, kumbe moyoni wapo kwenye mgomo baridi.
 
Ilimradi hizo fedha zimetumika kuwanufaisha watanzania na hakuna ufujaji wowote ule (Hili naamini hivyo maana Rais akikujua wafwaaa) Tuvuvumilie,bajeti ijayo hizo wizara zitapewa pia. Maana ni wizara za Tz,pia ndio kwanza mwaka mmoja umeisha.
 
Tatizo la watanzania wengi ni immaturity, Assad ni moja wao, na uhakika hajawahi fanya private sector walahi asingepanda hata ngazi moja tatizo JK kamuokota huko kutoka Chuoni bila kuangalia level ya maturity yake!!!!
Unamjua vizuri Assad? Assad hana maturity? Are you serious? Hebu tafuta cv yake usipate shida.
 
Mengi kama haya yapo nchi hii

na umeweza kugundua kwa sababu ya utashi wako murua

watanzania wengi wako bize na habari za umbeaumbea , ukuda ukuda, wako bize na bashite!!

mambo kama haya huwezi kut wanafuatilia na wanakuwa serious!! haipo
Na ubashite + unyumbani ndio unaoleta maumivu yote hayo,na waunga mkono na utetezi ndio nyie wadandia treni kwa mbele kama ufanyavyo sasa
 
Kabisa. Kama alianza kumnanga mheshimiwa tangu akiwa waziri, then something gonna happen!
Raisi hana mamlaka ya kumg'oa CAG madarakani labda astaafu, afe, awe kichaa au ikibainika mbele jopo la majaji wa jumuiya ya madola kuwa amefanya kinyume na matakwa ya kazi yakee ndio CAG anaweza kung'oka
 
Mengi kama haya yapo nchi hii

na umeweza kugundua kwa sababu ya utashi wako murua

watanzania wengi wako bize na habari za umbeaumbea , ukuda ukuda, wako bize na bashite!!

mambo kama haya huwezi kut wanafuatilia na wanakuwa serious!! haipo
Suala la Bashite ni muhimu na hili ni muhimu vile vile, wacha watu wajadili kwa mapana kila jambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…