hawa ma CAG nao wapigaji tu... magufuli anachokifanya yupo sahihi..
hii nchi kila mtu mwizi.... lazima uwe kauzu ndio itaenda...
yaani umpe CAG hela zote halafu wanafunzi udsm hawana pa kulala.... ***** zao ningekuwa mimi rais tanzania ingenyoooka..
magufuli ni chaguo sahihi sana ambayo ccm imewai kuifanya...
kama cag anaona kazi hawezi atupishe atakuja mwingine.. atafanya kazi hivyo hivyo kwa oc ndogo..
kipindi cha nyuma wamepewa sana hela na Jk na hakuna cha maana walichokuwa wanafanya halmashauri watu wanapiga hela tu kina lakairo na kampuni zao za janja janja...
epa yenyewe wazungu ndio waliokuja kagua wakaonesha makosa... ila angekagua team ya cag wangefunika makosa ili wapewe chao