Hakuna hoja hapo ndo maana nimekujadili wewe; Ni ushauri mzuri tu kwamba, ongeza reasoning ingawa ni vigumu kujilazimisha kama hukujaliwa uwezo wa kujifunza. Nikimaanisha, kama brain architecture haikuwa sawa tangu utotoni.Poel sana Binti!
wewe 2008 unahoja ipi?
Badala ya kujibu hoja unaanza kudiscuss mtu!
Hakuna hoja hapo ndo maana nimekujadili wewe; Ni ushauri mzuri tu kwamba, ongeza reasoning ingawa ni vigumu kujilazimisha kama hukujaliwa uwezo wa kujifunza. Nikimaanisha, kama brain architecture haikuwa sawa tangu utotoni.
That is exactly what I call poor reasoning! unajibizana nami, lakini unaandika siku zenu. sas akina nani? Yaani unatukana jamii nzima ambayo unaamini sisi tumo, pamoja na mama yako, na dada yako. Ndiyo hiyo nasema brain iligoma zamani!so hii yako ndio unaiona sawa!
maana niliweka hoja kujibu mtu,
wewe ukakimbilia kuniattack mimi, kweli unanjiona upo sawa au upo katika zile siku zenu(huwa mnakuwa na hasira sana) binti ?
Hata kazi za CAG huzijui wewe.................hawa ma CAG nao wapigaji tu... magufuli anachokifanya yupo sahihi..
hii nchi kila mtu mwizi.... lazima uwe kauzu ndio itaenda...
yaani umpe CAG hela zote halafu wanafunzi udsm hawana pa kulala.... ***** zao ningekuwa mimi rais tanzania ingenyoooka..
magufuli ni chaguo sahihi sana ambayo ccm imewai kuifanya...
kama cag anaona kazi hawezi atupishe atakuja mwingine.. atafanya kazi hivyo hivyo kwa oc ndogo..
kipindi cha nyuma wamepewa sana hela na Jk na hakuna cha maana walichokuwa wanafanya halmashauri watu wanapiga hela tu kina lakairo na kampuni zao za janja janja...
epa yenyewe wazungu ndio waliokuja kagua wakaonesha makosa... ila angekagua team ya cag wangefunika makosa ili wapewe chao
Hata kazi za CAG huzijui wewe.................
Yupo JF na hajui hata kazi ya CAG!!!Kabisa Mkuu, kakurupuka na kuandika pumba zake humu.
Yupo JF na hajui hata kazi ya CAG!!!
Aulize ni nani alogundua madudu ya MV DSM?
Nna uhakika huyo ni kijana mwenzetu kabisaKuna mabashite wa kutosha humu ambao ni mtaji mkubwa wa MACCM. Ni hasara kubwa kwa Taifa kuwa na wapumbavu kama hawa.
CAG anaachishwa????Proff Assad kwa hili ataoneshwa mlango !!
Kujenga nchi hakuwezi kufanyika bila nidhamu ya hali ya juu na uwajibikaji kwenye pesa, raslimali na bajeti ya nchi.'Tujengeni nchi kwanza'
Mkuu Beth, asante kwa bajeti ya serikali, enzi za JK, budget day huwa ni siku muhimu sana, siku hiyo rais hapangiwa shughuli zozote hata kama kuna ugeni, haupangiwa kuja on budget day.Katika bajeti ya mwaka 2018-2019 serikali ilitarajia kupata jumla ya shilingi Trilioni 32.48 kutoka katika vyanzo vyote vya ndani na nje, mchanganuo wa mapato yaliyopatikana hadi April, 2019 ni Trilioni 12.9 sawa na 87.4%