Madeni ya Taifa: Kuna kitu very serious CAG amekisema. Hii kitu haiko sawa. Je, tunakwenda wapi?

Usisahau na yale ya Ndugai India, inasemekana gharama alizogharimika wakigharimika wengine watatu kama yeye unajenga Hospital kama ya Mloganzira
 
Quoter = quarter
 
Mngemuacha huyu mzee wa watu astaafu kwa amani ameambiwa come Nov retirement yake ikifika wamkute Tanga, hizi mnazoleta hata pension yake wanaweza wasimpe Tena. Mngerejea ofisi yake Kama supika alivyotaka.
 
R.I.P THE REAL PASCO, HUYU JAMAA ALIKUWA MKWELI NA MZALENDO WA HALI YA JUU!
HUYU WA SASA NI NJAA TUPU NA KUSAKA UKUU WA WILAYA USIKU NA MCHANA.
 
Hatua ya kuchota pesa HAZINA na kujifanyia mambo kinyume na KATIBA inavyoelekeza ni hatari sana.
Hata ungenunua Burundi na Rwanda zimilikiwe na Tanganyika, kama Bunge halijapitisha unakosa uwalali Magufuli.

Usije fungwa kweli kama ndoto zako zinavyokwambia kuwa wewe “ni mfungwa mtarajiwa” , wapambe wote hutawaona mda huo wanakuachia “Jumba bovu” likuangukie peke yako.

Jifunze sasa ndege zinavyokamatwa Inaonekana kuwa rais ni chanzo wa tabu zote hizi, na serikali yako mmekosa umakini.
Na biashara hii ya ATCL ikifa ndio kabisa itaonekana unahatia ya kuchezea pesa ya UMMA.

Heshimu kodi zetu kwa maendeleo yetu.
 
Quoter = quarter
Dada yangu Faiza Fox, nisamehe bure, mimi ni product ya waalimu wa UPE, japo nimesoma O'Bay lakini pongezi ziende kwa mwalimu Ndii wa Msasani (RIP) tuition yake pale kwa Mzee Mujengi Gwao, Drive in estate ndio imesaidia mpaka hapa, vinginevyo nami ningekuwa kama fonti fedi!.
P
 
Ndio nani huyo mzee wa font fed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…