Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It is trueThings fall apart
Aresign mshahara wake achukue Nani Africa hiyo michakato haipoTatizo ni kwamba wabunge wanafikiria wajibu wa serikali kuhudumia wananchi ni favor.
Hizi wizara zilizozidishiwa fedha zichunguzwe kwa matumizi mabaya ya fedha.
CAG nae atusaidie kwa kuresign.
Ole wake Mbunge wa CCM atakayekosoa Serikali,atakiona cha moto,nahata wale wanaowapa Muda wapinzani watakiona cha moto.
Mpaka hapo bado una Bunge au Una mfano wa Bunge?
Safi sana.Ole wake Mbunge wa CCM atakayekosoa Serikali,atakiona cha moto,nahata wale wanaowapa Muda wapinzani watakiona cha moto.
Mpaka hapo bado una Bunge au Una mfano wa Bunge?
Unatakiwa uwe na jicho LA 3 kumuelewa Pasco ...Kuna wakati mwingine unakuwaga great thinker, na kuna wakati mwingine sijui tuite unafanya kwa makusudi au nia au mslahi fulani ili kupotosha umma.
Kwa uzi huu ninakuunga mkono ni habari iliyokaa kitafiti rahisi sana na kwa fikira yakinifu.
Yapasa wenzake wote watambue mwenye kinga ni mmoja tu; hata avurunde vipi au afanye uchafu wa aina gani yuko salama sasa na hata baada ya "maisha haya".Toka awachimbe mkwara wabunge wake kuwa wasiihoji serikali...... Nimepata mashaka makubwa sana uadilifu wa mfalme.
Namuelewaga sana ila tatizo linapofika akiguswa wa kwao kutoka chattle na kolomije utamuona anakuja kuwatetea huku. Huwa anakuwa na ndimi mbili.Unatakiwa uwe na jicho LA 3 kumuelewa Pasco ...
Kazi za CAG zinafanywa na Raisi.
Other charges...Oc ndo nini? (Kirefu chake/ maana yake)!
NB. Kama matumizi haya yaliyoidhinishwa na Bunge ni yale yaliyotumika kununulia zile Bombardier za ATC na haya yaliyotumika kuhamia Dodoma, then huu ni ufisadi mzuri, ufisadi wa kimaendeleo ambao mimi naaunga mkono kama ninavyounga mkono udikiteta ukifanyika kwa nia njema.
Jumatano Njema.
Pakali
Rejea
Tangazo hili la serikali halimhusu CAG.
Mawaziri Watakaolalamikia OC Ndogo!, Waache Kazi!. Ni Kauli ya Kujenga Nidhamu au Udikiteta Tuu?!.
Prof. Assad amlipua Magufuli kwa ufisadi uuzaji wa nyumba za Serikali
Mengi kama haya yapo nchi hii
na umeweza kugundua kwa sababu ya utashi wako murua
watanzania wengi wako bize na habari za umbeaumbea , ukuda ukuda, wako bize na bashite!!
mambo kama haya huwezi kut wanafuatilia na wanakuwa serious!! haipo