hahhaahtala walikua wananipiia simu kila mara kwa namba ya kenya nikawa sipokei badae wakabadili namba ya kibongo nikastuka, sababu line niliyokopea ni mpya nikaapa sipokei simu kutoka kwenye hiyo namba. Sasa ni mwendo wa sms za mikwara,,, jamaa wana mikwara haijawahi tokea aisee ila nawakomesha sababu mwanzo nilikopa wakati wa kurudisha nikazidisha elf 5 makusudi wakaniambia next mkopo wataijazia ila hawakufanya hivyo so kama walivyoniibia nao wapambane na hali yao.
Hahaah umewaweza aseetala walikua wananipiia simu kila mara kwa namba ya kenya nikawa sipokei badae wakabadili namba ya kibongo nikastuka, sababu line niliyokopea ni mpya nikaapa sipokei simu kutoka kwenye hiyo namba. Sasa ni mwendo wa sms za mikwara,,, jamaa wana mikwara haijawahi tokea aisee ila nawakomesha sababu mwanzo nilikopa wakati wa kurudisha nikazidisha elf 5 makusudi wakaniambia next mkopo wataijazia ila hawakufanya hivyo so kama walivyoniibia nao wapambane na hali yao.
Duh wameajir kampun kabsa ya kudai watu kah mbona kam wapo serious hviHata mm hawa jamaa wananidai nilikopa laki moja kila siku wananitumia meseji za vitisho na wanapiga simu.
Mara ya mwisho juzi wamenitumia meseji iliyosomeka hivi.
"HABARI,HARVEST TANZANIA LTD NI WAKALA WA UKUSANYAJI MADENI KWA NIABA YA TALA,TUMEPOKEA TAARIFA ZAKO KWAMBA UMESHINDWA KULIPA MKOPO WAKO KWA WAKATI. KAMA WAKALA WENYE DHAMANA TUNAKUKUMBUSHA UFANYE MALIPO YAKO LEO HII KABLA YA KUKUCHUKULIA HATUA KALI KISHERIA.MALIPO YOTE YAFANYIKE TALA".
Je hii kitu Ina ukweli au ni mikwara tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pokea tu mwambie unamatatzonazipata ...kuna no mwsho 95 ndo anatuma msg za kutisha, afu kuna wa 759 anapiga simuu uyoo
HAKUNA KUKAMATANA WALA NINI WATU WAMEJIANDIKISHIA TANDAHIMBA WANAKOPEA DARKwa kuwa umetumia kitambulisho cha kupiga kura itakuwa kazi rahisi kukukamata
Alafu watawezaje kuthibitisha kwamba wananidai 1.5T ilihali wananidai 20K?Wanaweza wakatangaza hata kwenye redio kwamba bwana nyakandula anadaiwa mkopo wa Tsh trilion 1.5
Hahaaa daah !!!tala walikua wananipiia simu kila mara kwa namba ya kenya nikawa sipokei badae wakabadili namba ya kibongo nikastuka, sababu line niliyokopea ni mpya nikaapa sipokei simu kutoka kwenye hiyo namba. Sasa ni mwendo wa sms za mikwara,,, jamaa wana mikwara haijawahi tokea aisee ila nawakomesha sababu mwanzo nilikopa wakati wa kurudisha nikazidisha elf 5 makusudi wakaniambia next mkopo wataijazia ila hawakufanya hivyo so kama walivyoniibia nao wapambane na hali yao.
ha haha h daahNilikopa branch 2016 nikalipa 2018 ila mikwala yao ni balaa
Barafu la moto
Wana mkwara mzito ukiwa na roho nyepesi unaweza kutafuta pesa popote uwalipeHata mm hawa jamaa wananidai nilikopa laki moja kila siku wananitumia meseji za vitisho na wanapiga simu.
Mara ya mwisho juzi wamenitumia meseji iliyosomeka hivi.
"HABARI,HARVEST TANZANIA LTD NI WAKALA WA UKUSANYAJI MADENI KWA NIABA YA TALA,TUMEPOKEA TAARIFA ZAKO KWAMBA UMESHINDWA KULIPA MKOPO WAKO KWA WAKATI. KAMA WAKALA WENYE DHAMANA TUNAKUKUMBUSHA UFANYE MALIPO YAKO LEO HII KABLA YA KUKUCHUKULIA HATUA KALI KISHERIA.MALIPO YOTE YAFANYIKE TALA".
Je hii kitu Ina ukweli au ni mikwara tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kula maisha acha woga wewe,kopa na huko Tigo,Voda(m-pawa),airtel etc
tupa lainihivi hawa hizi namba zao wanazotuma sms haiwezekani kuziblock tu wasitupate yani unikopeshe upo huko kenya afu uanze kunisumbua na vitisho mimi alaaaaaa