Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
tala walikua wananipiia simu kila mara kwa namba ya kenya nikawa sipokei badae wakabadili namba ya kibongo nikastuka, sababu line niliyokopea ni mpya nikaapa sipokei simu kutoka kwenye hiyo namba. Sasa ni mwendo wa sms za mikwara,,, jamaa wana mikwara haijawahi tokea aisee ila nawakomesha sababu mwanzo nilikopa wakati wa kurudisha nikazidisha elf 5 makusudi wakaniambia next mkopo wataijazia ila hawakufanya hivyo so kama walivyoniibia nao wapambane na hali yao.