nyakandula
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 1,250
- 1,727
- Thread starter
- #61
Tala na branch wote hawapo tz ila unatumia app zao zipo play storeNahitaji kujua zaidi kuhusu TALA, wako wapi? Naomba nifahamu jinsi ya kuwafuatilia, je wana ofisi au ni katika mitandao? masharti ya kukopa ni yapi? asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app