Hakika!
UK kuna mawakala wa kukusanya madeni,gharama za ukusanyaji na interest mdaiwa inakuhusu.Mambo ya kukopeshana kishkaji muda wake umeisha,unataka mkopo wa haraka nenda tala,branch,Tigo pesa ambapo dawa ni uaminifu.Hofu yangu ni kwamba wanaweza wakaaa wapo kimya lakini wanakupigia hesabu zile interest za mkopo wako wa kila mwezi siku wakikukomalia baada ya kulipa 10000 ukajikuta unalipa zaidi ya hiyo. Na pia sawa wanaweza wasikufunge lakini utapoteza muda wako na mambo ya kesi mahakamani endapo wakachukuwa sheria kikamilifu. Lipa tu mkuu ni haki yao hiyo
.
Kuna mshkaji alinipigia nimuazime pesa 50,000/,nikamwambia akope tala au branch.Kumbe na huko kakimbia deni,sasa nikajiuliza unakimbiaje deni kwa kampuni ambayo hata ukitaka pesa yao hawakunyanyasi kwa maneno.Ni kitendo cha kukaa home na kuchukua pesa,now ukikosa uaminifu usimlaumu MTU.Yani bongo bwana daaaah. Ndo maana hatuendelei. We kampuni kama hii imejitolea kutoa mikopo nafuu kwa ajili ya kuwakwamu wananchi kiuchumi tena kwa ribs ndogo sana. Lakin bado watu hawalipi jamni....maisha hayawezi badilika kwa mtindo huu asee.....!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, huyo jamaa yako mpaka nimecheka...yaani kashaharibu huko sasa akakimbilia kwako.Kuna mshkaji alinipigia nimuazime pesa 50,000/,nikamwambia akope tala au branch.Kumbe na huko kakimbia deni,sasa nikajiuliza unakimbiaje deni kwa kampuni ambayo hata ukitaka pesa yao hawakunyanyasi kwa maneno.Ni kitendo cha kukaa home na kuchukua pesa,now ukikosa uaminifu usimlaumu MTU.
Na wala hii sio humu tu, hata Mtaani nimeshawasikia Watu wanaongea kwa kujitapa namna walivyowahi kukopa na kutolipa...tena ni hizo pesa ndogondogo tu.Nimesikitika sana kuona watu wanavyotumia vibaya fursa za kukopa...na mtu unajisifia kabisa kwa mbwembe nyingi
Halafu unategemea ufanikiwe kwenye biashara yako...huo si ni udhulumaji na kujitengenezea malaana bila sababu
Ndo maana hata wakati mwingine unapatwa na majanga yanayokugharimu haya mara tano ya hela uliyodhulumu mtu au taasisi
Bora usilipe kwa sababu umeshindwa mambo yameenda vibaya kuliko kupanga kutapeli. Mtu unasajili namba mpya ya kukopea ili utapeli? Una tofauti gani na kibaka wa manzese?
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said...Taasisi za ukopeshaji katika nchi ambazo watu hawana spirit ya kulipa madeni huwa zinapata tabu sana,ndio maana nchi zetu tutachelewa sana kuwa linked na huduma kama za Credit card n.k,na hakuna most of us tunakopa na hatutaki kulipa,mifumo kama TALA ni rahisi kupata faida nchi zilizoendelea ambako uchumi ni mkubwa na watu wanajua umuhimu wa kulipa madeni,unapoingia katika biashara ya kukopesha ina maana umekubali ku accept risk zozote zinazoweza kutokea,inabidi ujipange hasa kwenye hizi unsecured Loan ni pasua kichwa sana,i used to be a Credit Officer somewhere na mikopo ina dhamana lakini kupata marejesho sometimes ni kazi,una kuta mtu is able but unwilling to pay his/her obligations....so TALA au BRANCH wajifikirie upya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashangaa hyo?nivushe wananidai laki 4.na bado laini yangu IPO hewani.
Serikali yenyewe inadaiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikitika sana kuona watu wanavyotumia vibaya fursa za kukopa...na mtu unajisifia kabisa kwa mbwembe nyingi
Halafu unategemea ufanikiwe kwenye biashara yako...huo si ni udhulumaji na kujitengenezea malaana bila sababu
Ndo maana hata wakati mwingine unapatwa na majanga yanayokugharimu haya mara tano ya hela uliyodhulumu mtu au taasisi
Bora usilipe kwa sababu umeshindwa mambo yameenda vibaya kuliko kupanga kutapeli. Mtu unasajili namba mpya ya kukopea ili utapeli? Una tofauti gani na kibaka wa manzese?
Sent using Jamii Forums mobile app
OkTigo nivushe *150*81#
Jaribu bahati yako.
Kama unatumia sana tigo pesa ni rahisi kukupa.
Ila Mimi walianzia kunikopesha 10,000
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo tala wakikupa 40, 0000/= hawaongezi wanakuwa wanakupa hiyohiyo tu.Kama serikali yangu tukufu inadaiwa vipi mie mwananchi wake nisidaiwe. Wananidai 130000 ila sina mpango wa kuwalipa na hata wakipiga nawaambia live tu sina mpango wa kulipa kama mbwai na iwe mbwai tu bwashee
Sent using Jamii Forums mobile app
ukishakopa tala huwezi tena kukopa branch. huyo jamaa katumia mbinu gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watajuaa wenyewee....Kuna kitu kinaitwa CRB....credit bureau reference. Wakipeleka jina lako huko utaonekana ulivyo msumbufu.
Sent using my Nokia Torch