Sasa majina ya watu mara nying hufananaKuna kitu kinaitwa CRB....credit bureau reference. Wakipeleka jina lako huko utaonekana ulivyo msumbufu.
Sent using my Nokia Torch
Kwahio hak yao kutolipwa sioHawa jamaa ni wezi aisee yaani unakopa mara 4 wanakupa kiwango kilekile ukiona umefikia uwezo wa kukopa 100000 ujuwe hiyo nifedha yako mwenyewe ulio ikuza kutokana na riba yako
sent by galax s9
Ni wewe hapo, acha kumsingizia jamaa yako,Habar, nahitaji kujua madhara ya kutowalipa hawa tala na branch mkopo uliochukua, maana kuna jamaa yang anadaiwa na elfu 70 tala na laki moja branch na hajawalipa miez kadhaa imepita ila jamaa wanamtumia mesej za vitisho sana hadi namim naogopa kuwakopa ili nitokomee.
MADHARA GANI UTAYAPATA MAANA HATA WAO HAWAJAWEKA BAYANA AU KAMA USHAPATA HAYO MAAFA NIJUZE
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya mesej ya kitisho
WEWE ENDELEA TU KUWA MKAIDI.WE NI MTU MZIMA UNASHINDWA KUJITUMA UNAAMUA KUJIPATIA KIPATO MTANDAONI KWA NJIA ZA KITAPELI.SI HAUTAKI KULIPA DENI.JIPE MASAA MACHACHE USHUHUDIE FEDHEHA ULIOJITENGENEZEA MWENYEWE. PESA YAKO HAINA THAMANI TENA KWETU MAANA UMETUPA HASARA KUBWA SANA TUPO TAYARI KUTUMIA GHARAMA ZAIDI YA PESA ULIOKOPA KUKUPATA NA KUKUFANYA WA MFANO KWA WOTE WENYE NIA KAMA YAKO ILI IWE FUNZO KWA WOTE ...TUMECHOSHWA NA UTAPELI WAKO!
Inategemea na ulipaji wako tu. Ukiwa unalipa mapema miez mi4 had 6 utafik lak3Inachukua muda gani hao branch na tala waanze kukukopa laki3 na kuendelea
Vipi mkuu tupe updates kuhusu huo mkwara uliopigwa na Tala.
Mikwara hio hawana uwezo huo..watu wa account wanasema wew ni bad debtsHabar zenu wakuu?
Leo nimetumiwa meseji mbaya sana na Tala inayosomeka hivi:
"Baada ya Taarifa za mkopo wako unaodaiwa Tala kufikishwa mahakamani, mtuhumiwa lazima uitikie wito wa mahakama mara utakapo pokea taarifa, mtuhumiwa lazima ulipe gharama za usumbufu uliojitokeza. Hii ni kwakua umevunja makubaliano yetu ulioweka awali kabla hujachukua mkopo. Malipo yafanyike TALA haraka".
Je hii ni kweli,na je Kuna watu ambao wamewahi kupelekwa mahakamani na Tala?
Naombeni taarifa juu ya hilo.
Asante sana mkuu kwa maelezo mazuri.Mikwara hio hawana uwezo huo..watu wa account wanasema wew ni bad debts
Sio kweli hata kidogo,hapa umedanganyaukishakopa tala huwezi tena kukopa branch. huyo jamaa katumia mbinu gani
nimejaribu ukiingiza information tu wanakwambia una madeni sehemu nyingine hupewi mkopoSio kweli hata kidogo,hapa umedanganya
Sawanimejaribu ukiingiza information tu wanakwambia una madeni sehemu nyingine hupewi mkopo
Nakupuuza🚮upunguzage ubishi
254Hawa Tala na branch ni wa nchi gani?
Define riba ndogo [emoji2955] ,Yani bongo bwana daaaah. Ndo maana hatuendelei. We kampuni kama hii imejitolea kutoa mikopo nafuu kwa ajili ya kuwakwamu wananchi kiuchumi tena kwa ribs ndogo sana. Lakin bado watu hawalipi jamni....maisha hayawezi badilika kwa mtindo huu asee.....!!
Sent using Jamii Forums mobile app