Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mgonjwa anatakiwa abaki nchi aliyopatikana na virusi au aurudishwe nchini kwake .. hata mimi sijaelewa ,Wakuu statement hii inafikirisha:
"Majirani...hiki kitu kipo, chukueni tahadhari.... tukiwaachia muingie hivi hivi mtatumalizza, lazima mpimwe kila mmoja baada ya mwingine. Hawa 12 walijaribu kuingia kupitia mpaka wa Lungalunga.
Wamepewa matokeo ya vipimo vyao na kuachiwa warudi kwao huko watajua wenyewe kama watafukiza, au waendelee kutema mbegu na kuambukiza zaidi. Lakini Kenya hawaingii wakiwa katika hiyo hali."
Acha uongo Tanzania haina approach yoyote...ama ni approach gani hiyo mko nayo?Nairobi ina watu 4m+ kama mnapima watu wengi mmefika hata 1% ya wakati
Copy and paste itawagharimu...
Hivi mgonjwa anatakiwa abaki nchi aliyopatikana na virusi au aurudishwe nchini kwake .. hata mimi sijaelewa ,
😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁Acha uongo Tanzania haina approach yoyote...ama ni approach gani hiyo mko nayo?
Sent using Jamii Forums mobile app