Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Wakuu,
Kama mnavyojua hii job yetu hii inatupa fursa sana ya kupakia warembo wengi WA rika mbalimbali.
Na kuna wengine wanatuzoea na kutuomba namba za simu ili tuwapeleke sehemu mbalimbali.
Miongoni mwa faida tunazozipata ni kuwa na wateja wa kudumu kwa muda fulani,
Ila kuna wakati maelewano yanakomaa na tunajikuta tunapewa "bumunda",
Tena wana wanadufua "bumunda" la mrembo aliyejazia na kufungashia, ambaye hauamini kabisa, yaani unadufua bure kabisa.
Hivyo bodaboda tunaopakia wanawake warembo wa rika mbalimbali tukutane hapa ili tupeane uzoefu, mbinu na changamoto za job yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mnavyojua hii job yetu hii inatupa fursa sana ya kupakia warembo wengi WA rika mbalimbali.
Na kuna wengine wanatuzoea na kutuomba namba za simu ili tuwapeleke sehemu mbalimbali.
Miongoni mwa faida tunazozipata ni kuwa na wateja wa kudumu kwa muda fulani,
Ila kuna wakati maelewano yanakomaa na tunajikuta tunapewa "bumunda",
Tena wana wanadufua "bumunda" la mrembo aliyejazia na kufungashia, ambaye hauamini kabisa, yaani unadufua bure kabisa.
Hivyo bodaboda tunaopakia wanawake warembo wa rika mbalimbali tukutane hapa ili tupeane uzoefu, mbinu na changamoto za job yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app