johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa Ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Injinia Isack Kamwelwe amesema serikali iko mbioni kuwasajili madereva na makondakta wa daladala ili kuboresha Huduma hiyo hapa nchini.
Mh Kamwelwe amesema kabla ya kusajiliwa watendaji hao wa kwenye daladala watalazimika kupelekwa darasani na kupatiwa mafunzo maalumu.
Hii yote ni katika kuboresha Huduma ya usafiri wa abiria ambapo hata sheria ya usafiri wa bajaj na bodaboda itaboreshwa, amesisitiza waziri.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mh Kamwelwe amesema kabla ya kusajiliwa watendaji hao wa kwenye daladala watalazimika kupelekwa darasani na kupatiwa mafunzo maalumu.
Hii yote ni katika kuboresha Huduma ya usafiri wa abiria ambapo hata sheria ya usafiri wa bajaj na bodaboda itaboreshwa, amesisitiza waziri.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!