Madereva na Makondakta wa daladala kusajiliwa na serikali baada ya kuingizwa darasani na kupatiwa mafunzo ya kazi

Madereva na Makondakta wa daladala kusajiliwa na serikali baada ya kuingizwa darasani na kupatiwa mafunzo ya kazi

Tuna mambo mengi sana ya kufikiri na kutenda zaidi ya hili..tuwe makini sana na aina ya watu tunaowapa nyadhifa za uongozi...
 
Umeongea vizurisana, hayo mashirikayao yote yako hoi, daladala wanajiendesha wenyewe kwa mipangoyao na wanalipa kilakiti lakini wamedumu kwa miaka yote na wapo imara sana.

Huyu anataka kufanya kazi ya daladala kuwa ngumu tu, wewe huja kasirika kama mimi mkuu.

Kama anataka kuboresha daladala atupe njia ya mwendo kasi aone kama kuna wananchi watapata tabu kama wanayo pata sasaivi na haya ma basiyao. Chukia sana .
Muambieni huyo waziri wenu asiye mbunifu.
1. Aboreshe usafiri wa mwendokasi kwanza.
2. Akachukue yale mabasi yanayoendelea kuoza pale Ubungo ICD yaongeze nguvu kwenye mwendo kasi.
3. Serikali na TRA wafahamishwe kwamba yale mabasi yaliyoletwa yaliyo pale ICD hayauziki kwenye mnada hata wauze milioni ishirini.
4. Mwambieni huyo waziri maana najua haya jf haijui kwamba atamfundisha dereva wa daladala kitu gani au matusi gani asiyoyajua. UDA imekufa daladala zimeimarika wakati barabara na abiria ni walewale isitoshe kila daladala ilikua ikiilipa UDA kwa matumizi ya vituo.
Itaendelea kwani nimepata hasira sana. Daladala ndio tumpe waziri mafunzo sio waziri atupe sisi elimu.
Boresheni mwendokasi.
Itaendelea.........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa Ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Injinia Isack Kamwelwe amesema serikali iko mbioni kuwasajili madereva na makondakta wa daladala ili kuboresha Huduma hiyo hapa nchini.

Mh Kamwelwe amesema kabla ya kusajiliwa watendaji hao wa kwenye daladala watalazimika kupelekwa darasani na kupatiwa mafunzo maalumu.
Hii yote ni katika kuboresha Huduma ya usafiri wa abiria ambapo hata sheria ya usafiri wa bajaj na bodaboda itaboreshwa, amesisitiza waziri.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Dereva alisoma vets ndio akapewa leseni C kavu ya kubeba abiria akasome Tena masters ya udereva, au? Konda akisoma bila mmiliki kusoma shida iko palepale
 
Back
Top Bottom