Kuna siku natoka mbweni - makumbusho, mvua inanyesha wanafunzi wanajaribu kiungia konda anawazuia. Watoto wa dsm wanatesrka sana katika usafiri. Unakuta mtoto anaingia kwenye gari saa tano anaenda shule hadi unajiuliza sasa hivi anakwenda kusoma nini.