Haah! same comment, same moment different maneno tuAbiria panda gari zingine, zinazoendana na speed unayoitaka!
Zipo nyingi Sana route ya Mbeya,
New Force, Kilimanjaro, Abood, Kyela Express n.k
Kung'ang'ana kupanda Saul ni upuuzi!
Sauli ina watu wake special hawana hofu, WANAOKAA ndani, kuchimba dawa hawanunui chakula kinaigiziwa Kwa mama lishe njiani pale kabla ya Kitonga msosi unapokelewa!
Umeandika kiumbeya umbeya sanaDereva wa bus ya kampuni ya saul T 485 DXE wamshambulia abiria kisa kureport gari ikiwa na speed meter 115-120.
Kutokana na story ya muhusika anasimulia kua alikua na app ya kusoma speed ya ggari na kutuma kwenye group la wasafiri mojawapo. Baada ya muhusika kurecord tukio hilo kwenye group alipokea DM za vitisho kutoka kwa namba tofauti.
Baadae kidogo alipgiwa simu na dereva wa gari ilo na kumtaka asogee mbele yani atoke siti iyo akakae mbele kwa dereva,alipofika dereva alimpokonya simu na kumtishia.Baada ya safari kwenda kwa masaa kadhaa bila muhusika kupewa simu yake ilifika hatua abiria uyo alitaka kushuka sehem inayoitwa uyole wakati anataka kushuka walimzuia na kumtaka asishuke kwamba wanampeleka polisi kwa kosa la kurec na kuwachomea maovu yao.
Abiria alijitahidi kuwaomba na na kuwasisitiza lakini waligoma na kuondoka nae pasipo kumpeleka polisi.(utekaji huu)
Baada ya kufika mwisho wa safari walishusha abiria wote na kubaki wao madereva na baadhi ya watu wachache na kuanza kumhoji na kumpiga kwa kumlazimisha kusema nani amemtuma kurecord maovu ya kampuni yao ya SAUL na ilifikia hatua ya kumlazimisha amtaje moja ya mtu wa kampuni shindani ya New force.
Baada ya kipigo na vitisho vya muda mrefu walikagua simu na kujaribu kuweka namba za baadhi za watu waliohisi wao ndio wamemtuma ila walikuta abiria uyo hana namba za wahusika hao kabisa,ndipo walipomlazimisha kuformat simu yote na vitisho juu.
Baada ya muda walimuachia abiria uyo akiwa na majeraha maeneo ya mgongoni kutokana na kipigo walichomshushia.
Kutokana na taarifa iyo inaonyesha ukanda huo Dar mpk tunduma kumekua na ajali nyingi sana sababu ya rushwa na madereva kujiona tyr wameshika system.
Akienda kushtaki polisi atalipwa pesa ndefu..Dereva wa bus ya kampuni ya saul T 485 DXE wamshambulia abiria kisa kureport gari ikiwa na speed meter 115-120.
Kutokana na story ya muhusika anasimulia kua alikua na app ya kusoma speed ya ggari na kutuma kwenye group la
Baada ya muda walimuachia abiria uyo akiwa na majeraha maeneo ya mgongoni kutokana na kipigo walichomshushia.
Kutokana na taarifa iyo inaonyesha ukanda huo Dar mpk tunduma kumekua na ajali nyingi sana sababu ya rushwa na madereva kujiona tyr wameshika system.
Naunga mkono. Mbona hatusikii pande nyingine zilisemaje mfano abiria wenzake, mashuhuda, polisi, nk. Nahisi hii ni watu wa hiyo kampuni tu wanajaribu kufanya PROMOSHENI ya mabasi yao.Hii stori Haina ukweli wowote.
Uendeshaji mbaya wa gari moja unaweza kupelekea maafa kwa watumiaji wengine wa barabara, labda useme sauli watengenezewe kanuni zao na barabara zao wenyewe ili watumiaji wengine wa barabara wasizurike- Simple as that.Abiria panda gari zingine, zinazoendana na speed unayoitaka!
Zipo nyingi Sana route ya Mbeya,
New Force, Kilimanjaro, Abood, Kyela Express n.k
Kung'ang'ana kupanda Saul ni upuuzi!
Sauli ina watu wake special hawana hofu, WANAOKAA ndani, kuchimba dawa hawanunui chakula kinaigiziwa Kwa mama lishe njiani pale kabla ya Kitonga msosi unapokelewa!
Inasikitisha sanaHii ni aina ya jamii tuliyonayo..ukijaribu kurekebisha kosa hakuna anayekuunga mkono maana kila mmoja hataki kufuata taratibu.
hata angeenda polisi asingepata msaada wowote.
Mkuu, kuna ajali nyingi sana za mabasi huko mabarabarani zinatokea kila siku na huwezi kusikia polisi au vyomb vya habari wakiziongelea hata kidogo, mfano ajali ya Super feo, ambayo ilikuwa reported humu kwenye forum na mmoja wa abiria, pengine kuna uwezekano wa rushwa kwa sehemu fulani. Hizi sauli zinapata sana ajali na ni mara chache sana kusikia zikitangazwa- Mf. Ajali ya sauli kibahaNaunga mkono. Mbona hatusikii pande nyingine zilisemaje mfano abiria wenzake, mashuhuda, polisi, nk. Nahisi hii ni watu wa hiyo kampuni tu wanajaribu kufanya PROMOSHENI ya mabasi yao.
Ndomana mnakufa kama inziMlitaka watembee 80 KPH wafike Mbeya saa nne usiku???
Cha muhimu ni kufuata chuma.
Mkikikata rohoAbiria panda gari zingine, zinazoendana na speed unayoitaka!
Zipo nyingi Sana route ya Mbeya,
New Force, Kilimanjaro, Abood, Kyela Express n.k
Kung'ang'ana kupanda Saul ni upuuzi!
Sauli ina watu wake special hawana hofu, WANAOKAA ndani, kuchimba dawa hawanunui chakula kinaigiziwa Kwa mama lishe njiani pale kabla ya Kitonga msosi unapokelewa!
Kama unamjuwa huyo jamaa aliyefanyiwa kitendo hichoDereva wa bus ya kampuni ya saul T 485 DXE wamshambulia abiria kisa kureport gari ikiwa na speed meter 115-120.
Kutokana na story ya muhusika anasimulia kua alikua na app ya kusoma speed ya ggari na kutuma kwenye group la wasafiri mojawapo. Baada ya muhusika kurecord tukio hilo kwenye group alipokea DM za vitisho kutoka kwa namba tofauti.
Baadae kidogo alipgiwa simu na dereva wa gari ilo na kumtaka asogee mbele yani atoke siti iyo akakae mbele kwa dereva,alipofika dereva alimpokonya simu na kumtishia.Baada ya safari kwenda kwa masaa kadhaa bila muhusika kupewa simu yake ilifika hatua abiria uyo alitaka kushuka sehem inayoitwa uyole wakati anataka kushuka walimzuia na kumtaka asishuke kwamba wanampeleka polisi kwa kosa la kurec na kuwachomea maovu yao.
Abiria alijitahidi kuwaomba na na kuwasisitiza lakini waligoma na kuondoka nae pasipo kumpeleka polisi.(utekaji huu)
Baada ya kufika mwisho wa safari walishusha abiria wote na kubaki wao madereva na baadhi ya watu wachache na kuanza kumhoji na kumpiga kwa kumlazimisha kusema nani amemtuma kurecord maovu ya kampuni yao ya SAUL na ilifikia hatua ya kumlazimisha amtaje moja ya mtu wa kampuni shindani ya New force.
Baada ya kipigo na vitisho vya muda mrefu walikagua simu na kujaribu kuweka namba za baadhi za watu waliohisi wao ndio wamemtuma ila walikuta abiria uyo hana namba za wahusika hao kabisa,ndipo walipomlazimisha kuformat simu yote na vitisho juu.
Baada ya muda walimuachia abiria uyo akiwa na majeraha maeneo ya mgongoni kutokana na kipigo walichomshushia.
Kutokana na taarifa iyo inaonyesha ukanda huo Dar mpk tunduma kumekua na ajali nyingi sana sababu ya rushwa na madereva kujiona tyr wameshika system.
Mita hizo ina madhara gani ,wa bus ya kampuni ya saul T 485 DXE wamshambulia abiria kisa kureport gari ikiwa na speed meter 115-120
Mabasi yanapaswa kutembea 80KPHMita hizo ina madhara gani ,
Mabasi yanapaswa kutembea 80KPH
Hii ni below 80KPHDereva wa bus ya kampuni ya saul T 485 DXE wamshambulia abiria kisa kureport gari ikiwa na speed meter 115-120