Madereva wa kampuni ya mabasi ya Sauli wamshambulia abiria aliyeripoti kuhusu mwendokasi

Madereva wa kampuni ya mabasi ya Sauli wamshambulia abiria aliyeripoti kuhusu mwendokasi

Hao abiria wengine walikuwa wamekaa tu?

Ningekuwa ni mimi ningefanya fujo hapo Uyole mpaka wanishushe, hata kioo ningevunja.
Hili taifa lina baadhi ya watu wa ajabu sana, exceptionality ya SAULI inatokea wapi? SAULI kama mabasi mengine wanapaswa kufuata sheria. Kuna habari moja niliisikiliza ITV mwaka huu iliniumiza sana- Kuna abiria ambaye ni mama wa makamu kidogo, walipokuwa njiani aliona mwendo wa dereva siyo sahihi akaamua kumfuata dereva kumwambia, dereva apunguze mwendo,dereva na abiria wenzake wakamtukana sana, haikupita five minutes gari ikapata ajali dereva akafariki palepale na baadhi ya abiria, na wengine kupata majeraha akiwemo huyu mama wa makamu aliyepoteza mkono mmoja wa kulia. Kila nikiikumbuka sana hii story huwa na kosa maneno
 
Akienda kushtaki polisi atalipwa pesa ndefu..

Kiukweli ajali ingetokea mda huu usingekuwa usingepata time ya kupost hapa.

Mimi nadhani abiria wanatakiwa wapate hiyo App..
Inaitwaje mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Unaitaka.?

Inaitwa speedometer.

Ila chagua inayokufaa.
 
Wewe umeambiwa hautakufa, Au wewe ni msaidizi wa mwenyezi Mungu hapa duniani?
Uhai ni zawadi inatolewa kwa hisani ya Mwenyezi Mungu, kwa huruma yake yeye, Na pia Mwenyezi Mungu mwingi wa huruma na rehema amempa mwanadamu wajibu wa kuulinda na kuutunza uhai huo kama zawadi kupitia akili na utashi. Mwenyezi Mungu anapenda tuishi kwa kuwajibika na siyo kiholelaholela.
 
Mabasi yanapaswa kutembea 80KPH
Barabara kama inaruhusu yanapaswa kutembea zaidi ya hiyo. Kumbuka mabasi ni kwa ajili ya kuchaniza mikoa na mikoa, mengine mwanzo wa nchi hadi mwisho and beyond!

Nguvu mnazotumia kubania spidi bora mngedili na mambo mengine kama kuhakikisha barabara na service na utaalamu wa madereva kuendana na mwendo wa kasi kadri inavyohitajika

Mda mwingine full spidi ndio salama zaidi na economical pia.
supidi.jpg
 
Barabara kama inaruhusu yanapaswa kutembea zaidi ya hiyo. Kumbuka mabasi ni kwa ajili ya kuchaniza mikoa na mikoa, mengine mwanzo wa nchi hadi mwisho and beyond!

Nguvu mnazotumia kubania spidi bora mngedili na mambo mengine kama kuhakikisha barabara na service na utaalamu wa madereva kuendana na mwendo wa kasi kadri inavyohitajikaView attachment 2258192
Upungufu wa akili tu. Ndio maana kila kukicha mnachijwa barabarani. Kwa akili hizi sioni taifa likisonga mbele.
 
Dereva wa bus ya kampuni ya saul T 485 DXE wamshambulia abiria kisa kureport gari ikiwa na speed meter 115-120.

Kutokana na story ya muhusika anasimulia kua alikua na app ya kusoma speed ya ggari na kutuma kwenye group la wasafiri mojawapo. Baada ya muhusika kurecord tukio hilo kwenye group alipokea DM za vitisho kutoka kwa namba tofauti.
Baadae kidogo alipgiwa simu na dereva wa gari ilo na kumtaka asogee mbele yani atoke siti iyo akakae mbele kwa dereva,alipofika dereva alimpokonya simu na kumtishia.Baada ya safari kwenda kwa masaa kadhaa bila muhusika kupewa simu yake ilifika hatua abiria uyo alitaka kushuka sehem inayoitwa uyole wakati anataka kushuka walimzuia na kumtaka asishuke kwamba wanampeleka polisi kwa kosa la kurec na kuwachomea maovu yao.

Abiria alijitahidi kuwaomba na na kuwasisitiza lakini waligoma na kuondoka nae pasipo kumpeleka polisi.(utekaji huu)
Baada ya kufika mwisho wa safari walishusha abiria wote na kubaki wao madereva na baadhi ya watu wachache na kuanza kumhoji na kumpiga kwa kumlazimisha kusema nani amemtuma kurecord maovu ya kampuni yao ya SAUL na ilifikia hatua ya kumlazimisha amtaje moja ya mtu wa kampuni shindani ya New force.

Baada ya kipigo na vitisho vya muda mrefu walikagua simu na kujaribu kuweka namba za baadhi za watu waliohisi wao ndio wamemtuma ila walikuta abiria uyo hana namba za wahusika hao kabisa,ndipo walipomlazimisha kuformat simu yote na vitisho juu.

Baada ya muda walimuachia abiria uyo akiwa na majeraha maeneo ya mgongoni kutokana na kipigo walichomshushia.


Kutokana na taarifa iyo inaonyesha ukanda huo Dar mpk tunduma kumekua na ajali nyingi sana sababu ya rushwa na madereva kujiona tyr wameshika system.

Huyo kama ni mkweli ni mjinga na mpumbavu, gari limejaa abiria unatekwaje na kuchukuliwa simu?
 
Barabara kama inaruhusu yanapaswa kutembea zaidi ya hiyo. Kumbuka mabasi ni kwa ajili ya kuchaniza mikoa na mikoa, mengine mwanzo wa nchi hadi mwisho and beyond!

Nguvu mnazotumia kubania spidi bora mngedili na mambo mengine kama kuhakikisha barabara na service na utaalamu wa madereva kuendana na mwendo wa kasi kadri inavyohitajikaView attachment 2258192
Hakuna nchi ambayo haina speed limit kwa mabasi duniani, na speed limit kuwekwa kwendana na aina ya magari ina sababu zake-na wala haijawekwa tu kumfurahisha mtu.
 
Upungufu wa akili tu. Ndio maana kila kukicha mnachijwa barabarani. Kwa akili hizi sioni taifa likisonga mbele.
Braza kumbuka ni akili kubwa ndo zenye uwezo wa kung'amua kuwa kil mmoja anayo mahitaji yake binafsi.
 
Huyo abiria nae hana akili kama ataki mbio si apande mabus ya Harusi yanajulikana. Yaani upande basi la wafanyabiashara then utake speed ya Harusi
Mbio kwani rally hiyo? We unaijua mbio? Acheni ulimbukeni kwenye maisha ya watu. Stupid
 
Mbio kwani rally hiyo? We unaijua mbio? Acheni ulimbukeni kwenye maisha ya watu. Stupid
Kabla ya kukata tiketi jua sifa ya bus au kampuni.
Za bora kufika zipo,
Za ligi zipo.
Kazi ni kwako
 
Ukiona gari linaendeshwa vibaya tupigie makao makuu ya traffic au hata sms kwa namba 0784688881 tutachukua hatua. au mtaarifu balozi yoyote wa RSA ikiwa ni pamoja na Mimi.
 
Mtoa mada ni mnafiki na uongo wa hali ya juu umetumika,eti wanampiga na kumwambia why unappetizing maovu yetu?,kusafiri na bus hili ni hiari yako hakuna aliyemlazimisha kusafiri na Sauli, next time do me a favor nenda kapande Aboud, Sauli ina clients wake na service yake ni perfect
 
Hapo uyole hakuna police naye vipi, na hao abilia wengine hawajielewi kabisa anapigwaje mtu mmekaa kimya au bus lilibeba abilia mmoja wengine mazombie ya mbeya!
 
Back
Top Bottom