Madereva wa kampuni ya mabasi ya Sauli wamshambulia abiria aliyeripoti kuhusu mwendokasi

Endelea kushangalia siku utakapokatika kiwiliwili ndio utajua Mwendokasi sio mzaha
Siku ambayo wataokota kiwiliwili basi nawewe shangilia. Mnalalamika utafikiri mnalazimishwa kupanda! Kama mnakerwa na mwendo fanyeni kwa vitendo, kimbieni gari isipate wateja huenda watabadilika. Ajabu ndio gari inayojaza sana kwenye route ya Mbeya-Dar manafiki nyie.
 
Kuna mwingne alitekwa na kisbo ya kahama kutoka msamvu kisa kureport bus lao wakaenda kumshusha maporini uko akapambane na hali yake
 
Tunaenda wapi? Ajali zitaisha kweli?
 
Ww haujasikiaa hiyo ya kibaha sauli anapata ajali mpaka millard anareport mpaka watu wakammind millard ni mnaz wa newforce
 
Hao abiria wengine walikuwa wamekaa tu?

Ningekuwa ni mimi ningefanya fujo hapo Uyole mpaka wanishushe, hata kioo ningevunja.
Ungevunja kioo, ungekilipa, kipigo ungepata, polisi ungelala
 
Pole sana kaka. Na wewe ukakubali wakupige kabisa?
 
Wakati huyo abiria anafanyiwa hvyo ww ulkuwa bizy kupandisha nyuzi kumhusu huyo abiria badala ya kumnasua mwenzak na kipigo, So sad ,ila wakubwa tumeelewa kuwa mhusika huyo ni ww, ndo umeshushiwa kipigo, pole hapo jeraha la goti weka spirit, Next time panda ungo.
 
Mimi napenda basi linalokimbia sana
Huyo abiria siku ingine apande trekta litakaliendana na spidi yake atakavyo
Watu unataka kuwahi tuendako halafu mtu anataka dereva aendeshe basi mwendo wa konokono
Boss Kama unataka kuwah check na ATCL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…