Madereva wa Kenya waipigia magoti Tanzania, wapo tayari kupimwa tena waingiapo Tanzania. Ombi lao lakataliwa

Debe tupu, Kalb hayawan weye.
 
Hatuna ujinga wakupima watu hata kama hawaumwi. Acheni kuiga kila kitu toka kwa wazungu. Mbona hatupimi malaria??
 
international organizations and nations...
IMF,world bank, UE, USA , Israel , Uganda , SOmali..
tukisema ni waume zenu unanuna[emoji16][emoji16][emoji16].

data zako, USA zinwasaidia nini mpaka upeleke zikiwa sahihi!!!
 
tukisema ni waume zenu unanuna[emoji16][emoji16][emoji16].

data zako, USA zinwasaidia nini mpaka upeleke zikiwa sahihi!!!
swali umeuliza nikakujibu.... kojoa ukalale
 
Kila mtu abaki kwao,mnalalamika nini sasa,hv ushasikia dereva wa Tanzania wakilalamika kama wanavyolalamika wakenya!
 
🤣🤣🤣

joto la jiwe alishaikimbia mada! mara ya mwisho alioonekana ferry sijui anaelekea zanzibar......................
 
Mpango mzima uwe hivyo
 
Eti all that fell to deaf ears

Mtatukana sana. Mtuache na corona yetu
 
Makubaliano kila nchi ipime wa kwake na kuwapa vyeti, Kenya wamevunja hilo na wanadai hadi 2,000/- Ksh ili dereva wa Tanzania aingie Kenya.

Tutaelewana tu kidogo kidogo
Hapa naona unashabikia ujinga tu.. Swala la muhimu ni pande zote mbili kufikia muafaka wa nini kifanyike.

Kama swala ni kila dereva aingiapo nhci nyingine apimwe basi iwe hivyo na biashara kuendelea
 
Simple, kila mtu abaki kwake. Tusisumbuane.
 
Sasa mnalia nini, si kila mtu abaki kwake?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


joto la jiwe alishaikimbia mada! mara ya mwisho alioonekana ferry sijui anaelekea zanzibar......................
Tatizo lenu ninyi hamna akili mnachosha sana, mbona hamuelewi mambo madogo kiasi hili?

1)Mkutano wa mawaziri walikubaliana kila nchi itawapima madereva wao na kuwapa certificates ambazo zitakubalika kwa nchi zote.

2)Kenya ndio mlianza kuzikataa na kulazimisha kuwapima tena madereva wa Tanzania.

3)Madereva wa Tanzania walikataa na kurudi Tanzania.

4)Tanzania ikajibu kwa kutokuruhusu madereva wa Kenya kuingia Tanzania hata kama wanaonyesha vyeti vya Kenya.

5)Madereva wa Kenya wanaomba kuruhusiwa kuingia Tanzania na wapo Tayari kupimwa tena wanapoingia Tanzania, Serikali ya Tanzania imekataa hilo ombi na kushikilia msimamo wa kutokuwaruhusu madereva wa Kenya kuingia Tanzania.

Sasa kitu gani hapa hujakielewa?, baada ya kukataa kutambua cerificates za Tanzania, tumelipiza kwa kuwakatalia madereva wenu kuingia Tanzania hata kama watakubali tuwapime tena.
 
Mbona viongozi wa sekta zinazohusika wa nchi zote mbili walikaa wakazungumza na kukubaliana jinsi ya kushughulika na jambo hili? Imekuwaje tena?
 
Hayo siyo makubaliano yaliyoafikiwa na pande zote mbili. Makubaliano yalikuwa kila dereva apimwe nchini kwake. Uungwana ni pamoja na kuheshimu makubaliano yaliyoridhiwa na pande zote mbili.
 
Hayo siyo makubaliano yaliyoafikiwa na pande zote mbili. Makubaliano yalikuwa kila dereva apimwe nchini kwake. Uungwana ni pamoja na kuheshimu makubaliano yaliyoridhiwa na pande zote mbili.
Sasa nani kati ya Kenya na Tanzania mwenye kukiuka makubaliano?
 
tatizo lako ni propaganda hadi unachosha, waltham amekupa hali kamili kama ilivyo kwa madereva wa tz. Kuingia Kenya lazima wapimwe, kama hawataki kupimwa hawaiingii kamwe. Madereva wa Kenya hawakatai kupimwa ili kuingia tz lakini tunajua kuwa hampimi kwa kuwa hamna uwezo wala utalam na vifaa. Maabara mlisha funga baada ya kupima mapapai sasa sijui unatoa povu hapa ili iweje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…