Nimeshafanya kazi na waganda, wakenya, wanyarwanda nk, i reserve my commentkwa nini Waganda hawasemi kuwa sisi ni wanafiki ? ni nyinyi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshafanya kazi na waganda, wakenya, wanyarwanda nk, i reserve my commentkwa nini Waganda hawasemi kuwa sisi ni wanafiki ? ni nyinyi tu
Kwani tumelilia kuja kwenu?? Always mnaolilia ni nyie ......huku kuna corona ya kumwaga kwanini mnaruhusu madereva wenu waje huku kwani hamuwapendi?? Cha muhimu fungeni mpaka mtoeno balozi wenu maisha yasongeWa tz wacheni ujinga! huko kwenu hampimi korona, vyeti mnachapisha kariokoo mkifikiria mnaweza kuwatapeli waKenya. Maneno ni simpo sana, hapaingii mtu bila kupima, kama mnabisha fikeni mpakani mjionee hali ilivyo.
Kwa hiyo unasemaje Sasa.,..tatizo lenu hamjui Kiswahili...Kama waliwasiliana naye na akasema kuwa walikuwa wamebaki wanne Kuna tatizo gani hapo?? Hiyo ya ukiritimba mla albino una maana gani hapo?? Inaelekea hujui hata unachojadili na hata maana ya maneno Kama neno ukiritimba..wacha Ukiritimba mla-albino,
Rais wenu amesema hivi "COrona imekwisha, Dar palikuwa na wagonjwa wanne" "note the past tense"...
😀 😀Nimeshafanya kazi na waganda, wakenya, wanyarwanda nk, i reserve my comment