Tena walikuwa wanamtukana aliyepost hiyo video kule insta[emoji43]Alafu watu wa Mbeya wanamatatizo vichwani, mnawezaje kukaa kimya na kufurahia kwenye basi huku dereva anafanya upuuzi huo? Acheni usela mavi.
Game tamu sana hizo, acheni kabisa. kwanza hapo bado kabisa mbona? Hizo gemu tamu balaaa, kuna mtu juzi nimesema hapa ving'amujzi havifanyi kazi, akanibishia, haya nambie sasa hapo kuna speedometer gani inafanya kazi? Hao wamekamatwa baada ya video kwenda viral not tracking system ya hao siju wapi huko
Naomba nitumie hio picha kwa DP yako puliziIla wewe!!!!Kwahiyo wewe unafurahi eh??...kuwa makini kijana! Barabara hizi sio kabisa!
Ile gari ya Bukoba (Jina nalificha) walikua wanatembea hadi 140km/hrWatu wanabishaga vyuma vinatemvea hadi 160
Unatoka nje ya mada! Kwanini unapenda Mambo ya ushindani road??Naomba nitumie hio picha kwa DP yako pulizi
Ni system mpya ya kusimamia mwendo wa gari, inaripoti moja kwa moja LATRA, ila hii system iko tempered kwa sasa na mabasi mengi hasa haya mapya hayajafunga kabisa. Yangekua yamefungwa yangechelewa kufika kama mwanzoni pale ambapo mwisho ilikua ni speed 80km/hr. Mimi nasafiri sana na huwa nafanya monitoring ya speed kwa kutumia App kwenye simu, inakuonyesha na hata hapa naweza ku screeshot nikaweka safari ya Kahama kipindi fulani.Hivyo ving'amuzi vinafanyaje kazi? Vinawekwa wapi? Na nani anakua anaviangalia mkuu?
Mimi huyo? Hapana sijawahi kupenda kabisa aisee. Ni muoga sana sana napenda kuishi bado ujueUnatoka nje ya mada! Kwanini unapenda Mambo ya ushindani road??
Yaan mie moyo umekuwa baridi kuangalia hii kideo! Ngoja nitafute cinzano nitulieMimi huyo? Hapana sijawahi kupenda kabisa aisee. Ni muoga sana sana napenda kuishi bado ujue
Kwaio alarm inapiga humi humo kwenye basi lililofungwa hicho king'amuzi? Ndo inataka ifanane na ile ya miaka ilee iliitwaga speed governorNi system mpya ya kusimamia mwendo wa gari, inaripoti moja kwa moja LATRA, ila hii system iko tempered kwa sasa na mabasi mengi hasa haya mapya hayajafunga kabisa. Yangekua yamefungwa yangechelewa kufika kama mwanzoni pale ambapo mwisho ilikua ni speed 80km/hr. Mimi nasafiri sana na huwa nafanya monitoring ya speed kwa kutumia App kwenye simu, inakuonyesha na hata hapa naweza ku screeshot nikaweka safari ya Kahama kipindi fulani.
Hii kitu haifanyi kazi na mabasi machache yanapiga hizo alarm sasa hivi
Kwaio alarm inapiga humi humo kwenye basi lililofungwa hicho king'amuzi? Ndo inataka ifanane na ile ya miaka ilee iliitwaga speed governor
Cinzano? Chukua nanihiiiiYaan mie moyo umekuwa baridi kuangalia hii kideo! Ngoja nitafute cinzano nitulie
Yes, gari ikifika speed 80 ytu inaanza kupiga alarm, na ikipiga alarm inasoma kwenye system ya LATRA kwahio driver unapigwa fine na system kwenye licence yako, but it was back thenKwaio alarm inapiga humi humo kwenye basi lililofungwa hicho king'amuzi? Ndo inataka ifanane na ile ya miaka ilee iliitwaga speed governor
Hii ni kwa sisi Watakatifu tu, sifa yake kubwa ni kuondoa stress, kusahau madeni na ada na kodi za nyumbaYa wapi hii?ukute design ya pingu😛😛
Sijasafiri muda mrefu sana...Rafiki hujasafiri muda eh!!
Hivi wanafunga hata kwenye yale ma coaster yanayosafirishaga misiba ? Au ni mabasi ya abiria tu?Yes, gari ikifika speed 80 ytu inaanza kupiga alarm, na ikipiga alarm inasoma kwenye system ya LATRA kwahio driver unapigwa fine na system kwenye licence yako, but it was back then
Hahaha! Haya boss! Mie hainifai hii...! Mume hayupo!Hii ni kwa sisi Watakatifu tu, sifa yake kubwa ni kuondoa stress, kusahau madeni na ada na kodi za nyumba
Yanapiga maalarm balaa...tusafiri basi😔🤭Sijasafiri muda mrefu sana...
I am not sure but nadhani ilikua ni mabasi tu ya mikoaniHivi wanafunga hata kwenye yale ma coaster yanayosafirishaga misiba ? Au ni mabasi ya abiria tu?
Weee?!! sema kweliHahaha! Haya boss! Mie hainifai hii...! Mume hayupo!