Madereva wa mabasi ya Rungwe na Happy Nation mbaroni kwa ku-bet na kufanya ligi barabarani

Madereva wa mabasi ya Rungwe na Happy Nation mbaroni kwa ku-bet na kufanya ligi barabarani

Watu wanabishaga vyuma vinatemvea hadi 160
Game tamu sana hizo, acheni kabisa. kwanza hapo bado kabisa mbona? Hizo gemu tamu balaaa, kuna mtu juzi nimesema hapa ving'amujzi havifanyi kazi, akanibishia, haya nambie sasa hapo kuna speedometer gani inafanya kazi? Hao wamekamatwa baada ya video kwenda viral not tracking system ya hao siju wapi huko
 
Hivyo ving'amuzi vinafanyaje kazi? Vinawekwa wapi? Na nani anakua anaviangalia mkuu?
Ni system mpya ya kusimamia mwendo wa gari, inaripoti moja kwa moja LATRA, ila hii system iko tempered kwa sasa na mabasi mengi hasa haya mapya hayajafunga kabisa. Yangekua yamefungwa yangechelewa kufika kama mwanzoni pale ambapo mwisho ilikua ni speed 80km/hr. Mimi nasafiri sana na huwa nafanya monitoring ya speed kwa kutumia App kwenye simu, inakuonyesha na hata hapa naweza ku screeshot nikaweka safari ya Kahama kipindi fulani.

Hii kitu haifanyi kazi na mabasi machache yanapiga hizo alarm sasa hivi
 
Ni system mpya ya kusimamia mwendo wa gari, inaripoti moja kwa moja LATRA, ila hii system iko tempered kwa sasa na mabasi mengi hasa haya mapya hayajafunga kabisa. Yangekua yamefungwa yangechelewa kufika kama mwanzoni pale ambapo mwisho ilikua ni speed 80km/hr. Mimi nasafiri sana na huwa nafanya monitoring ya speed kwa kutumia App kwenye simu, inakuonyesha na hata hapa naweza ku screeshot nikaweka safari ya Kahama kipindi fulani.

Hii kitu haifanyi kazi na mabasi machache yanapiga hizo alarm sasa hivi
Kwaio alarm inapiga humi humo kwenye basi lililofungwa hicho king'amuzi? Ndo inataka ifanane na ile ya miaka ilee iliitwaga speed governor
 
Yaan mie moyo umekuwa baridi kuangalia hii kideo! Ngoja nitafute cinzano nitulie
Cinzano? Chukua nanihiiii

1593173333933.png
 
Kwaio alarm inapiga humi humo kwenye basi lililofungwa hicho king'amuzi? Ndo inataka ifanane na ile ya miaka ilee iliitwaga speed governor
Yes, gari ikifika speed 80 ytu inaanza kupiga alarm, na ikipiga alarm inasoma kwenye system ya LATRA kwahio driver unapigwa fine na system kwenye licence yako, but it was back then
 
Yes, gari ikifika speed 80 ytu inaanza kupiga alarm, na ikipiga alarm inasoma kwenye system ya LATRA kwahio driver unapigwa fine na system kwenye licence yako, but it was back then
Hivi wanafunga hata kwenye yale ma coaster yanayosafirishaga misiba ? Au ni mabasi ya abiria tu?
 
Back
Top Bottom