kuna dereva mmoja mzee wa kudeshi.
anafanya kama anasimama mlango wa kwanza wa kituo,woote mnakimbilia kule,mkikaribia anatoa basi alafu anasimama mlango wa kati.,,mkikimbilia tena mlango wa kati,,, anatoa gari anasimama mlango wa mbele,,mkikaribia mlango wa mbele anatoa gari mazima,anaenda tena kuwachezesha kituo kinachofuata.
mwenyewe anafurahi anawafanya watanzania kama vile midoli.