Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahahah hatari sanaVan guard sio chini ya million 25 chief
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahah hatari sanaVan guard sio chini ya million 25 chief
Ni ndege ya chini rumionOngeza na wa rumion
Ni ndege ya chini rumion
[emoji23][emoji23][emoji23] nice joke!Ni ndege ya chini rumion
Vipi wale wenye premio ambao wanaendesha huku wanachati?
Hawa wenye premio huwa ni washua fulani hivi wanendesha gari zao kwa umakini sana. Ila wanazingua tu kuchati hovyo na simu zao.Aise nipe habari ya premio...nasikia wadau nao wanaenjoy tu yani nayo ni tamu
Vp comfort yake na feeling ukiwa unadrive?Hawa wenye premio huwa ni washua fulani hivi wanendesha gari zao kwa umakini sana. Ila wanazingua tu kuchati hovyo na simu zao.
Hii Toyota Premio sijawahi kuidrive mkuuVp comfort yake na feeling ukiwa unadrive?
Ha ha ha; eti kwa sababu ya "hali yao". Inferiority sio kitu kizuri kabisa.Wamiliki wa paso wanashida sana muda wote wanahisi wanaonewa barabarani
Endeleeni kurukaruka barabarani na ndugu yenu Rush.
Sisi madereva wa Subaru hatuna mambo hayo,kwanza gari zetu zenyewe zinazoweza na kujitosheleza😂Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.
Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]
SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
... watoza ushuru wanakucheki tu; ukijichanganya mkeka ukiwekwa mezani lazima uitelekeze depo!Acha tupambane tu.. hizo ndio gari sema mpunga kipengeleee
Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.
Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]
SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Afu wahuni wanakuja kuipiga mnada shwaa[emoji23][emoji23]... watoza ushuru wanakucheki tu; ukijichanganya mkeka ukiwekwa mezani lazima uitelekeze depo!
High speed killsKwa safari za mkoani huwa inasaidia safari kuwa fupi,View attachment 2479680
Wanaichukua bei sawa na bure gani!Afu wahuni wanakuja kuipiga mnada shwaa[emoji23][emoji23]