[emoji38][emoji38][emoji38]madogo wakishanyoa vidu, wakawa na hela ya k Vanti, na vimafuta vya kuunga unga vya kuweka kwenye Alteza, basi wanaona dunia nzima ni yao...
Huwa wanafanya modifications kwenye mfumo wa exhaust...Hivi haya magari zile sauti/kelele kama ngoma iliyopasuka ndiyo yapo hivo hivo? Yaani yanunuliwa yakiwa na huo mlio wakuu? Siyo wivu ila yana kelele aisee [emoji3]
Madereva wa IST usiwalaumu...wengi ndiyo gari zao za kwanza...wakizoea wataachaBora madereva wa Subaru kuliko wa IST hawa jamaa ni mapepe barabaran sijui shida Yao ni nini..
Madereva wa IST hawajiamini barabaran wao muda wote ni ku-overtake bila kuangalia nyuma na mbele
Kwa comment hii itabidi nitafute hela ninunue subaru, maana sipendi gari yenye kelele, napenda mbio ila za kwenye Highway sio mtaaniHuwa wanafanya modifications kwenye mfumo wa exhaust...
Bora subaru huwa inalia vizuri kwa sababu ya boxer engine..
teza huwa inalia Byuuuuuuuuuphh..
Ahaa duh hizo modifications na mwenye IST anaweza fanya ama ni special for Teza na Baru tu ? na madereva wa hizo gari mmh siwaamini nahisigi wanapuliza mibangi si kwa rough hizo+kelele sorry kama kuna mliopo humuHuwa wanafanya modifications kwenye mfumo wa exhaust...
Bora subaru huwa inalia vizuri kwa sababu ya boxer engine..
teza huwa inalia Byuuuuuuuuuphh..
Tutake radhi tafadhari, watumiaji wa Bhangi hatuna mambo ya ajabu ajabuAhaa duh hizo modifications na mwenye IST anaweza fanya ama ni special for Teza na Baru tu ? na madereva wa hizo gari mmh siwaamini nahisigi wanapuliza mibangi si kwa rough hizo+kelele sorry kama kuna mliopo humu
[emoji1][emoji116]Hii inaukweli kabisa, hata mimi nimewahi kuwaona baadhi..
Wanapenda sana kuvaa vikaptura na ndala.
Afu wanapenda sana kuning'iniza funguo kiunoni.
Wakiiingia bar, funguo za gari zinawekwa mezani.
Ndiyo hata kwenye gari ndogo inawezekana lakini si afya sana kwa hizi gari ndogoAhaa duh hizo modifications na mwenye IST anaweza fanya ama ni special for Teza na Baru tu ? na madereva wa hizo gari mmh siwaamini nahisigi wanapuliza mibangi si kwa rough hizo+kelele sorry kama kuna mliopo humu
Tena TurboSubaru drivers just look for excuses to race. One look in their direction and they just ache to race.
Ila Subaru Zina utamu wake bwana.
Mkuu hao ulio wataja ni wa istWanapenda sana kuvaa vikaptura na ndala.
Afu wanapenda sana kuning'iniza funguo kiunoni.
Wakiiingia bar, funguo za gari zinawekwa mezani.
Si zinapigwa na upepo jaman?!Wanapenda Sana kufungulia mziki sauti kubwa kwenye gari.
Wakipaki gari BEACH, lazima wafungulie milango yote wazi
View attachment 1656129
[emoji1][emoji116]View attachment 1656327
Duh😀😀 samahani mkuu mtumiaji!Tutake radhi tafadhari, watumiaji wa Bhangi hatuna mambo ya ajabu ajabu
Duh[emoji3][emoji3] samahani mkuu mtumiaji!