toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Umri wao wengi ni kati ya 25-35 yrs, walioko above hapo wachache sana humiliki gari za vurugu kama hizi.
Kati yao, mabishoo ndio wengi ila wastaarabu ni wachache kuanzia mavazi mpaka uendeshaji.
Upo sahihi Mkuu ingawa kwa mtu mzima/ wa umri mkubwa na mstaarabu nikimuona anendesha magari ya aina hiyo yaani huwa namfikiria kitofauti sana.
Sisi wa boxer tusubiri mmalize kwanza mjadala[emoji125]
Ila wengi wao wana tabia zote mdau alizozitaja...
Nitatoa mfano halisi kilichotokea mwezi uliopita..
Tumeenda sehemu nikapaki usafiri wangu kama wengine walivyopaki kufuatana na maelekezo ya mlinzi wa pale..tuakaendelea na kilichotupeleka hapo..
Wakati naondoka nikakuta Alteza imepaki vibaya, sikuwezi kutoka..nikawaomba wahudumu wamwambie jamaa asogeze gari...mhudumu akarudisha jibu jamaa hajigusi wala hajibu kitu...
Meneja wa sehemu hiyo akaenda mwenye, kakanyanyuka kajamaa kamenyoa kiduku, mezani kameweka K vanti, suruali mnyonyo...kanavyotembea sasa nikadhani anakuja kuwasha Range Rover sport ya 2019.
Akawasha Alteza yake, akapiga resi kile kibuyu pale nyuma kikaharibu usikivu, basi akaipaki pembeni.....nikaondoka zangu..
Hawa watoto wakishaendesha hizo gari, wakazifunga vibuyu kwenye exhaust, wanahisi wameshamaliza maisha yote.
uza tu hio mashinemzee kwahiyo nikaweke sokoni hichi kigari sio mbona daaah maneno yameshakuwa mengi [emoji1787][emoji1787]
😁
kwanini mkuu gari ni gari
Poa mkuu, wenye tabia za ajabu ni hao wanywa mbadala wa virobaDuh😀😀 samahani mkuu mtumiaji!
Aisee upo sahihi kabisaaa!!!Madereva wa IST usiwalaumu...wengi ndiyo gari zao za kwanza...wakizoea wataacha
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji125][emoji125][emoji125][emoji28][emoji28][emoji28]Aisee upo sahihi kabisaaa!!!
Hawana tofauti na bodaboda
ooh sweet heart, leo umepita huku kwenye magereji yetu..[emoji16]
Usijaliiiooh sweet heart, leo umepita huku kwenye magereji yetu..
Utachafuka kwa grisi na oili chafu huku mami..[emoji38][emoji38]
Bora kama umejidhatiti..[emoji38]Usijaliii
Nimevaa overlol jeusi [emoji3]
Wengi wao haya ndiyo mapigo yao...[emoji28]Hawa vijana ni bange sana kwa kweli hahahaaa..
Wengi wao haya ndiyo mapigo yao...[emoji28]
Na walio wengi ndani ya gari hakosi maji kubwa, K vanti au konyagi na miraa..View attachment 1656730
AbsolutelyMtu mzima hachungwi mkuu. Anapaswa kujichunga yeye mwenyewe.
Aina ya gari ni chaguo la mtu.mazingura nkUpo sahihi Mkuu ingawa kwa mtu mzima/ wa umri mkubwa na mstaarabu nikimuona anendesha magari ya aina hiyo yaani huwa namfikiria kitofauti sana.
Wanaweka nini hadi yapiga keleleHuwa wanafanya modifications kwenye mfumo wa exhaust...
Bora subaru huwa inalia vizuri kwa sababu ya boxer engine..
teza huwa inalia Byuuuuuuuuuphh..