Madereva wanaoendesha magari aina ya Subaru na Alteza

Umri wao wengi ni kati ya 25-35 yrs, walioko above hapo wachache sana humiliki gari za vurugu kama hizi.

Kati yao, mabishoo ndio wengi ila wastaarabu ni wachache kuanzia mavazi mpaka uendeshaji.

mzee kwahiyo nikaweke sokoni hichi kigari sio mbona daaah maneno yameshakuwa mengi [emoji1787][emoji1787]
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kwanini mkuu gari ni gari

Ni kweli Mkuu kuwa gari ni gari tu lakini kuna gari zinahitaji kuendana na status ama heshima ya mtu ktk jamii.

Ni kama vile kusema mavazi ni mavazi tuu, kisha mtu mzima mwenye staha ukavaa tight jeans zile za kuchanwa chanwa, micheni mikubwa mikubwa na mapete vidole vyote kumi..

Hii lazima jamii ikuchulie kitofauti sana..
 
Upo sahihi Mkuu ingawa kwa mtu mzima/ wa umri mkubwa na mstaarabu nikimuona anendesha magari ya aina hiyo yaani huwa namfikiria kitofauti sana.
Aina ya gari ni chaguo la mtu.mazingura nk
Si ajabu Apo ulipo unasaga soli lkn unamshangaa mtu alienunua subaru kisa ni mtu mzima.
Usipende maishA yako yawe magumu kisa ni mitazamo ambayo haina uhalisia wwte.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…