Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Nakukubali Sana MK254, nakukaribisha Tanzania πΉπΏ uje ugombee Urais. Aliyekalia kiti katuacha kwenye mataaπ¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦Hiyo ndio hatari ya corona, ni kidude kimetokea jehanamu maana kinavyopindisha pindisha mpaka kimezidi kila mmoja akili.
Ingekua hakiui watu, kila mmoja angejiachia tu maana sio rahisi kukwepa, ila sasa chenyewe kinachagua nani wa kuua na nani wa kuachwa salama, maana hamna pattern yoyote, kinaua vijana na kusaza baadhi, kunaua wazee na kuaachia baadhi, kinaua waliokua wazima na pia kusaza baadhi ya waliokua wazima.
Wakati leo madereva wengine nane (8) wa malori wakikutwa na COVID 19 mpakani Namanga wakitokea Tanzania, naibu waziri wa afya Kenya bi Mercy Mwangangi ametoa wito kwa wakenya waishio mpakani na Tanzania kuanzisha ulinzi shirikishi wa nyumba 10 kubaini watakaoingia nchini humo kupitia njia za panya.
Jana kuna video niliona mtanzania akikokotwa na polisi wa Kenya kurudishwa Tanzania huku akiambulia kipigo. Musiende kwa wenzenu hawawataki. Huku nchi yenu ikiwa haifanyi jitihada zinazokubalika kitaalam kuzuia kuenea kwa ugonjwa huu bado mnaonekana nyinyi ni tatizo sugu la kusambaa kwa COVID 19 kwa majirani zenu.
Ingia Kenya uone kama ni upuuziUpuuzi
HahahhaahahaHakuna Nyangau anaeweza kumpiga Mtanzania[emoji1241] ata siku moja
Tuna stock ya kutosha kuweza kusupply to the rest of Africa.Tanzania πΉπΏ ni kichaka Cha Corona
Nikafanyeko nini hukoIngia Kenya uone kama ni upuuzi
Ummy yupo twita anatoa taarifa πVIONGOZI WA WIZARA YA AFYA WAJIUZURU KWA KUSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WA KUPAMBANA NA CORONA
Hakuna Nyangau anaeweza kumpiga Mtanzania[emoji1241] ata siku moja
Tumpongeze mtukufu Magufuli kwa kuiacha kolona iingie kwenye kaya zote nchini
Ni juhudi nzuri za kuuwa uchumi ambazo zitatuletea manufaa mazuli
Colona tumeishinda imebaki kwenye mapapai na mbuzi tu
Acha kufafanisha Kenge mwenye akili na vitu vya kijingaMataga we ni mpumbavu kweli yaani. Jana clip ilikuwa inasambaa mbongo anapigwa na wakenya. Wewe unabishana Na technology. Kenge wewe
Huwezagi kupita kimya ww...!!Tuna stock ya kutosha kuweka kusupply to the rest of Africa.
Wamembana mbavu akakimbia fasta. Alipokea ripoti kimya kimya kumbe aliyepeleka sample alikuwa na Corona πππππ
Sijajua kuwa tumeeanza kutengana kwa makabila, dahWachaga ( wao wako mpakani) ndio huingia Kenya kwa njia za Panya, na chadema iko strong huko KLM hivyo chadema waambieni watu wenu wabakie Migombani, ...
Haya ni uongo. Mtu ukishashikishwa akili hapo Lumumba huna hata haja ya kuifahamu dunia maana unaambiwa hao ni mabeberu hawatutakii mema. Yani nchi ina miaka 59 sasa leo ndiyo anakuja mtu asiyeijua vizuri dunia anahubiri ubeberu! ShameHuu uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
TumetishaTuna stock ya kutosha kuweka kusupply to the rest of Africa.