Bro...Mambo mengine tumwachiage Mungu tumwambie Baba hili hatuwezi...Mungu anasikia.Hakuna dhambi kumwambia Mungu kwamba huku kwetu Africa hatuna kimbilio Ila ni wewe Baba....kujilinganisha na Sweden au Somalia, au nchi yoyote haitusaidii....Kama kuchukua tahadhar watu wameshachukua Sana but wapi...bilabila....Tumlilie Mungu atuponye.Lockdown, takwimu data, haieaidii kitu...hata ukiambiwa leo Tanzania wamekufa 190009999000....itakusaidia nini? Acha niende zangu kwenye mkesha kanisani kwetu
Sent using
Jamii Forums mobile app