Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapooana maskini posa huwa ndogo.Posa kubwa inategemea muolewaji anatokea familia yenye hadhi gani? Na yenye maadili gani? Kuna binti toka familia yenye hadhi na maadili mazuri ukienda kuoa mahari yaweza anzia milioni tatu kwenda juu.Ukienda zenye hadhi ndogo na maadili madogo mahari yaweza kuwa hata elfu kumi au hata bure na posa waweza weka hata shilingi elfu mbiliSijawahi kusikia wala kuona sehemu watu wanaposa kwa kiasi kikubwa hivi kwa wastani wa posa nilizohudhuria na nilizosikia.
Najua mahari huwa zinatofautiana ila posa huwa inafanana.
Halafu kamzalisha mtoto kabla ya kumuoa kawaachia wakae naye kulea hako katoto ni tusi kwa wanyakyusa hapo ajiandae kupigwa faini atakapokuwa anapangiwa mahari.Cha kwanza atatakiwa alipe faini kwa kumzalisha mtoto wao kabla ya kumuoa250k ya posa tu unapiga kelele hivyo, ikigika mahari au matunzo ya mtoto utaweza wewe?
Kizazi cha wanaume kiko hatarini kutowekaUnapigwaje na mwanamke mzee kwa mfano yaani anaanza wapi kukupiga wewe mtoto wa kiume? [emoji848]
Au anakuwekea dawa za usingizi na kukufunga kamba kwanza?
Ukitoka Mwakaleli ukipandisha mlima unaingia kwetu Kitulo.Unaelekea kijijini kwetu 😂😂😂
Elfu mbili 😂Zilikuwa ni cents Mkuu
Ambazo ukizi-convert kwasasa ni kama elfu mbili hivi 🤗
Ndiyo maana tumekula chumvi nyingi 😜
Sahihi hayo mambo hayana tume ya bei wala TBS kuwa kuna kiwango kilichoidhinishwa na TBSOngeza hela ,wao thamani yao ya posa ndio hiyo 250,000 ,usitake kulinganisha na wengine uliosikia.
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.
Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran
Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.
Sijawahi kusikia wala kuona sehemu watu wanaposa kwa kiasi kikubwa hivi kwa wastani wa posa nilizohudhuria na nilizosikia.
To yeye Kuna maswali yako hukuUnaoaje mnyakyusa
Wacha ujuaji we keyboars warrior. Utafanyaje we pang'ang'a? Sema na tamba sana ila omba yasikukute.Dah.. natamani sana nimzalishe mdada then anisusie huyo mtoto then nimuonyeshe show... unakwama wapi Mkuu?
Inaonekana we ni mjinga au huna uwezo wa kufikiri sawasawa au wewe ndo wale saidiwa na babaDOGO BADO HAUPO TAYARI KUOA. TSH 250,000 YA POSA UNAKUJA ANZISHA UZI? MAHARI SI NDO UTALIA KABISA. WATU POSA TUNATOA MPAKA MILION MOJA NA KUENDELEA NA MKE AKIZINGUA TUNAMWACHA. MADOGO MNADEKA SANA MIAKA HII. NDO MAANA MNASHINDWA KULEA FAMILIA.
Hiyo ndogo sana. Ni kama tone. Hutaki unaacha. Siyo unakuja lalamika lalamika. Wanaume ni mwiko kulalamika.
wabena nawapenda mno aisee kwanza wazuri wametulia. nikija kutulia hapo ukimani nitaoa moja ya kulia pensheni.Unaoaje mnyaki, wabena hukuwaona?
Jiandae kutombewa kawaida sana kwao.
Wanawake wa kinyakyusa wanatabia ya kumtawala mwanaume,jipange kua StrongMama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.
Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran
Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.
Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.
Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.
Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.
Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000
Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi
Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.
Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Yeye amezaa kabisa.Ni familia hiyo uliyoenda kuoa sio kabila zima, na hiyo uliyopeleka ni posa yaan kishika uchumba hakitakiwi kuzidi 100,000/= labda kama umempa mimba kabisa hapo ndo faini inakuhusu inainzia 150,000-300,000/= kuhusu maamuzi yako chini ya baba na mashangazi sio mama, nimeoa unyakyusani na mwaka wa nane huu niko na mama chanja wangu life linaenda. Onyesha msimamo ukienda kinyororo utakula za uso