Ulishawahi sikia kuwa Shangazi ndio baba hiyo methali ilianzia kwa wanyakyusa. Baba mzazi hawezi oza binti wanaoza mashangazi ndio baba zake na wenye shughuli yao ya kuozaHahaa mashangazi ni watata hao😃
Baba mzazi anatakiwa kufyata mdomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishawahi sikia kuwa Shangazi ndio baba hiyo methali ilianzia kwa wanyakyusa. Baba mzazi hawezi oza binti wanaoza mashangazi ndio baba zake na wenye shughuli yao ya kuozaHahaa mashangazi ni watata hao😃
Unalia 250K - kuna ndoa hapo?Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakuwa na kaubabe fulan hivi.
Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran
Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.
Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.
Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.
Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.
Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000
Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi
Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.
Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Kabisa mfano binti wa kaka yake mkulima mdogo mkazi wa kijijini anaoza binti yaje kijijini Shangazi yake huyo binti hata kama anafanya kazi umoja wa mataifa New York Marekani lazima ateremke kijijini kuja kuoza huyo binti.mtoto wa kaka yake mkulima hapi kijijini asimamie kuanzia kupokea posa,mahari nkKwa kweli mashangazi wa kinyaki Wana tuzo yao
Hamna ndoa hapoUna
Unalia 250K - kuna ndoa hapo?
Wewe... ..Jamaa anaweza geuka mama huwezi kujua
Mwanamke wa kinyakyusa hataki mwanaume legelege kama wanaume wa Pwani anataka mchapa kazi hasa sababu hata wao wachapa kazi hasa iwe kijijni wanachapa kazi sio mchezo.Hawalelewi kilegelege hata siku moja..Sasa akikutana na kidume legelege lazina kiwake.Hiyo sio siri.Wewe ni legelege sana, mnyaki hutomuweza.
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakuwa na kaubabe fulan hivi.
Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran
Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.
Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.
Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.
Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.
Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000
Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi
Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.
Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mbona hiyo 3000 kubwa mkuu mimi kuna siku maza alirudi na 500 anasema ni mahari ya flani tumegawana na wako happy kwelikweliHapana siyo kweli kuhusu mahari or posa kubwa inategemea na familia yenyewe, ila kuhusu mahari kugawanywa hadi kwa majirani ni kweli,sisi tunaamini jamii nzima inahusika katika malezi ndiyo maana jirani anaweza akakuadhibu kama kama mzazi wako, ikitokea kuna kitu kibaya umefanya amekuona, so yes wanahusika kwenye mgao hata kama watapata kiasi kidogo( nilishawahi kushuhudia majirani wamegawana sh 3000 3000 za mahari ya binti, ni kwa furaha tu wanafanya hivo na wanapiga vigelegele na kushangilia sana kama kumpa baraka binti yao huko aendako).
Pia mama kuwa na sauti mmh hapana hivi unawajua mashangazi na kaka yao(baba binti) mkuu ? Wao ndiyo wenye sauti, Mama anakua anasikiliza tu hana say sana.
Karibuni muoe unyakyusani, tuna roho nzuri mno siyo wabishi( najipigia promo kidogo[emoji2][emoji3059] )
Kwa uzoefu wangu wanyakyusa wanapenda kugombea watoto siyo kususa watoto.Katika kabila ambalo halitupi mtoto Tanzania kumwachia mume huenda wanyakyusa tukashika namba moja....udhaifu wetu ni kumbadilisha jina mtoto na kumpa la ukoo upande wa mama.
Na mimi ni shangazi wa kinyaki; napokea maua yangu👏👏👏Kabisa mfano binti wa kaka yake mkulima mdogo mkazi wa kijijini anaoza binti yaje kijijinin Shangazi yake huyo binti hata kama anafanya kazi umoja wa mataifa New York Marekani lazima ateremke kijijini kuja kuoza huyo binti kuanzia kupokea posa,mahari nk
Wapewe maua yao mashangazi wa kinyakyusa
Nitetee mimi basi angalauNimesoma shule ambayo wanafunzi wengi walikuwa ni wa kutoka ukanda huo. Shule ilikuwa ni ya kilimo hivyo walichukuliwa wengi kutoka huko kwakuwa ni wachapa kazi. Na kweli ni wachapakazi, ila kwa ubabe kweli ni wababe. Nimefikiria wanawake wa kinyaki kadhaa ninaowafahamu, kwakweli kuwatetea ni ngumu🤣🤣
Sijui yuko wapi baba angu jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi Kaboom yuko wapi?
Kabisa KabisaKwa uzoefu wangu wanyakyusa wanapenda kugombea watoto siyo kususa watoto.
Ndugu tu anaweza ng'ang'ania mtoto wa ndugu yake hadi ugomvi.
Huyo anatishiwa nyau kashaonekana mwepesi kutoa pesa.
Hiyo familia mbaya kuoa.
Huu ukimya hope una mema, maana 🤔🤔🤔🤔🤔Sijui yuko wapi baba angu jamani
Hahaa kiukweli wanafurahi kwa kiasi chochote tu, wanyakyusa tuko vizuri bana na huruhusiwi kukataa mgao utaonekana humtakii mema binti😃[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mbona hiyo 3000 kubwa mkuu mimi kuna siku maza alirudi na 500 anasema ni mahari ya flani tumegawana na wako happy kwelikweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisaa ndiyo nimeshangaa mleta uzi anasema mama ndiye mwenye sauti😃😃 hawajui mashangazi huyuUlishawahi sikia kuwa Shangazi ndio baba hiyo methali ilianzia kwa wanyakyusa. Baba mzazi hawezi oza binti wanaoza mashangazi ndio baba zake na wenye shughuli yao ya kuoza
Baba mzazi anatakiwa kufyata mdomo
Bado mkuu unataka kuoa tuongee? Mahari mbuzi tu hamna bei majirani ni waelewa hawana shidaHivi we ushaolewa tuanzie hapo..ili nijiandae