Madhara ya amani ktk taifa. "Natural Selection" haifanyiki hivyo hata watu dhaifu huishi na kupata madaraka.

Madhara ya amani ktk taifa. "Natural Selection" haifanyiki hivyo hata watu dhaifu huishi na kupata madaraka.

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Israel ni taifa linalosifika ktk kila nyanja ktk uso wa dunia ni kwasabb imepitia misukosuko ya kivita kwa muda mrefu sana. Hii imepekea waisrael dhaifu kufariki na kubakia wale wenye nguvu ama uwezo wa aina fulani "survival of the fittest".

Kwenye nchi zenye utulivu na amani ya muda mrefu kama Tanzania mpk mazezeta na mazwazwa yanaishi, nayo yanazaliana kinoma. Haya ndiyo yanapekekea machawa kutapakaa na hatimaye tunapata viongozi mazezeta na mazwazwa.

Ni hayo tu
 
Israel ni taifa linalosifika ktk kila nyanja ktk uso wa dunia ni kwasabb imepitia misukosuko ya kivita kwa muda mrefu sana. Hii imepekea waisrael dhaifu kufariki na kubakia wale wenye nguvu ama uwezo wa aina fulani "survival of the fittest".

Kwenye nchi zenye utulivu na amani ya muda mrefu kama Tanzania mpk mazezeta na mazwazwa yanaishi, nayo yanazaliana kinoma. Haya ndiyo yanapekekea machawa kutapakaa na hatimaye tunapata viongozi mazezeta na mazwazwa.

Ni hayo tu
Kuna watu machawa watachukia sana kwa ulichoandika.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Sema wakuu uchawa unatia hasira sanaaa me nikimuona chawa nahisi yafuatayo

1Hana akili vizuri
2 shoga
3mpenda kitonga
4malezi mabovu
5umasikini wa kifikra
 
hata kama ukweli unasura mbaya vipi ni lazima usemwe ....ulilolisema linaukweli kwa kiasi chake je scandavia countries imekuwaje wakawa wanavyo vyote kwa pamoja ? je kwa taifa changa kama tanzania je tuko tayari kulipia gharama ? au tuendelee kujipanga kwanza
 
Back
Top Bottom