Israel ni taifa linalosifika ktk kila nyanja ktk uso wa dunia ni kwasabb imepitia misukosuko ya kivita kwa muda mrefu sana. Hii imepekea waisrael dhaifu kufariki na kubakia wale wenye nguvu ama uwezo wa aina fulani "survival of the fittest".
Kwenye nchi zenye utulivu na amani ya muda mrefu kama Tanzania mpk mazezeta na mazwazwa yanaishi, nayo yanazaliana kinoma. Haya ndiyo yanapekekea machawa kutapakaa na hatimaye tunapata viongozi mazezeta na mazwazwa.
Ni hayo tu
Kwenye nchi zenye utulivu na amani ya muda mrefu kama Tanzania mpk mazezeta na mazwazwa yanaishi, nayo yanazaliana kinoma. Haya ndiyo yanapekekea machawa kutapakaa na hatimaye tunapata viongozi mazezeta na mazwazwa.
Ni hayo tu