Puncler
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 1,386
- 1,888
Brother Mdee na Covid19 wenzie ni CCM, uanachama wao CHADEMA ulishafutwa kitambo.Wanadai wale covid-19 ndo wabunge wa upinzani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brother Mdee na Covid19 wenzie ni CCM, uanachama wao CHADEMA ulishafutwa kitambo.Wanadai wale covid-19 ndo wabunge wa upinzani...
CCM ni kama kinyonga.Na yalivyo majinga yataanza kushangilia tena
Labda wameazima koti la chadema huku ndani wakiwa fisiemu wa kufa na kuzikana......Brother Mdee na Covid19 wenzie ni CCM, uanachama wao CHADEMA ulishafutwa kitambo.
Yamelaaniwa haswaCCM ni kama kinyonga.
Ndugai huwa anaugua akisikia hii kauli ya 'bunge halina meno" ama bunge ni dhaifu.Bunge ni chombo hafifu, toothless.
Kabisa mkuu. Angalia hivi Sasa eti mtu mmoja tu (rais) anatamka kutengua maamuzi ya bunge lililokaa kwa miezi 3 na posho wamelipwa. Sasa kama rais anafuta maamuzi ya bunge, uwakilishi wa wabunge kwa wananchi uko wapi?
2025, hakutakuwepo kwa aina yoyote ya mpinzani bungeniii.Madhara ya bunge
(a) Kujaa wanaccm,
(b) Kuwa chombo cha kuimba nyimbo za sifa badala ya chombo cha kuisimamia na kuikosoa serikal....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na yalivyo majinga yataanza kushangilia tena
Kwani Bunge linahusika na kutunga kanuni zenye viwango vya tozo,? Au ni waziri tusichanganye mambo.Madhara ya bunge
(a) Kujaa wanaccm,
(b) Kuwa chombo cha kuimba nyimbo za sifa badala ya chombo cha kuisimamia na kuikosoa serikali,
.....yamedhihirika katika sakata la tozo za miamala. Rais anaanza SSH ameanza kupata tabu.
Wakati wa vikao vya bunge kujadili bajeti 2021/2022, wabunge wengi walijikita kutoa sifa kwa rais badala ya kuangalia mijadala iliyopo mezani na kuichambua ipasavyo.
Sasa mama SSH amelazimika kuagiza tozo hizo ziangaliwe upya wakati kulikuwa na zaidi ya watu 365 waliolipwa posho nene kufanya kazi hiyo.
Ndugai ameboronga, tena amebutua ajitafakari ktk hili kisha ajiuzulu.
.
Tozo zimejadiliwa bungeni. Kama walipendekeza tozo bila kujadili viwango ni Udhaifu mwingine huuKwani Bunge linahusika na kutunga kanuni zenye viwango vya tozo,? Au ni waziri tusichanganye mambo.
Magufuli alituharibia sana nchi yetuMadhara ya bunge
(a) Kujaa wanaccm,
(b) Kuwa chombo cha kuimba nyimbo za sifa badala ya chombo cha kuisimamia na kuikosoa serikali,
.....yamedhihirika katika sakata la tozo za miamala. Rais anaanza SSH ameanza kupata tabu.
Wakati wa vikao vya bunge kujadili bajeti 2021/2022, wabunge wengi walijikita kutoa sifa kwa rais badala ya kuangalia mijadala iliyopo mezani na kuichambua ipasavyo.
Sasa mama SSH amelazimika kuagiza tozo hizo ziangaliwe upya wakati kulikuwa na zaidi ya watu 365 waliolipwa posho nene kufanya kazi hiyo.
Ndugai ameboronga, tena amebutua ajitafakari ktk hili kisha ajiuzulu.
.
Utajuaje na wewe ulikuwa kwenu Burundi unachunga mbuzi?Twambie kipindi kina Lisu wamejazana bungeni waliwahi kuzuia nini kisipitishwe?