Madhara ya bunge kujaa WanaCCM yameonekana

Hata wapinzani wangekuwepo si wangegoma tu na kutoka nje halafu tozo zingepitishwa kwa sauti ya ndioooo !
 
Cha ajabu Mkuu maamuzi ya kuwafukuza wale COVID-19 mjengoni hataki kuyagusa!!! Maccm walidai kwamba Samia hawezi kuliingilia Bunge!!! Bunge FEKI wapuuzi wanagonga gonga meza na kupiga ukelele ndiyoooooo huku kukiwa hakuna la maana lolote walilolifanya.

Kabisa mkuu. Angalia hivi Sasa eti mtu mmoja tu (rais) anatamka kutengua maamuzi ya bunge lililokaa kwa miezi 3 na posho wamelipwa. Sasa kama rais anafuta maamuzi ya bunge, uwakilishi wa wabunge kwa wananchi uko wapi?
 
Ni shida kujadili hoja kwa undani kwa kuonyesha 'cons and pros' na kufikia uamuzi on the basis of weight of evidence and deliberation.
 
Tena hao wapuuzi wakisaidiana na Zitto walifuta fao la kujitoa,na bado Jaffo alivyoleta hoja binafsi sheria ifungwe,Ziito na Mchungaji Msigwa wakiwa wamehongwa na NSSF wakaipigia debe sheria ibaki kama ilivyopitishwa na bunge kwamba fao la kujitoa lifutwe
 
Kwani Bunge linahusika na kutunga kanuni zenye viwango vya tozo,? Au ni waziri tusichanganye mambo.
 
Yaani hili bunge la ndugai yamejaaa mabogus tupu,mda wa kujadili bajeti yenyewe yanaimba mapambio,mwisho wa siku mambo ndo hayo, hao hao mabogus ndo washauri na mawaziri wa raisi,bajeti imepita bungeni raisi naye kwa sababu kazungukwa na mabogus kapitisha tu yaani hatuna pa kutokea
 
Kwani Bunge linahusika na kutunga kanuni zenye viwango vya tozo,? Au ni waziri tusichanganye mambo.
Tozo zimejadiliwa bungeni. Kama walipendekeza tozo bila kujadili viwango ni Udhaifu mwingine huu
 
Magufuli alituharibia sana nchi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…