Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Nani kasema tumesikia?Wamesikia...
Usituongelee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema tumesikia?Wamesikia...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani kasema tumesikia?
Usituongelee.
Mrembo hadi kuandika hapa...ni ishara umesikia sema utaki kuelewa tu.Nani kasema tumesikia?
Usituongelee.
Kusema tumemsikia maana yake tunafuata alichosema.Mrembo hadi kuandika hapa...ni ishara umesikia sema utaki kuelewa tu.
Kumbe zinapatkana huku lol, [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] ngoja na me nizamieeeeehKusema tumemsikia maana yake tunafuata alichosema.
Binafsi sina hata dalili ya kuacha.
Kwanza nilikuwa sijui zinapatikana wapi , asante kwa VidMate wametusogezea karibu.
Ndio kaangalie mwaya, hazili hata bando.Kumbe zinapatkana huku lol, [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] ngoja na me nizamieeeeeh
Kusikia, kuelewa na kufanyia kazi kile ulichoelewa ni vitu tofauti kabisa...ila naamini unakaribia kukoma kuangalia japo siamini kama unafanya hayo.Kusema tumemsikia maana yake tunafuata alichosema.
Binafsi sina hata dalili ya kuacha.
Kwanza nilikuwa sijui zinapatikana wapi , asante kwa VidMate wametusogezea karibu.
Yapo bt si kama kwa wanawake mkuuKwa wanaume hakuna madhara?mbona hujaunganisha
Kwa kua unania ya kuacha taratbu utaacha bt nadhani ushayaona madhara ya kuwatchKwa kweli kuna shetani kule anakuvuta ukiangalia moja utataka na ya pili..mimi nimejaribu kuacha kuangalia, saa nyingine naweza kukaa hata wiki mbili baadae narudi tu dhambini
Mkuu mwanamke akiangalia imagination hubaki bt mwanaume akiangalia hujifunza mbinu za kuimarisha mchezoTatizo liko wapi? Wewe baada ya kumuangalia Cherokee umemtosa kimbaumbau wako?
Mi naongelea madhara na wala siwezi kukuonea wivu mkuuKidizaini kama unatuonea wivu vile,,
Dah uyo nikonki aiseeKuna demu alikuja gheto anauliza vipi pc haina x., mara mimi mpka ninywe bia 2 ndo stimu zinapanda..
Nikajisemea hapa hamna mwanamke!
Na unampenda sana huyo!Tatizo liko wapi? Wewe baada ya kumuangalia Cherokee umemtosa kimbaumbau wako?
Ushawahi kuwa mwanamke kwani,, hadi useme imagination hubaki vichwani mwetu!!!mkuu mwanamke akiangalia imagination hubaki bt mwanaume akiangalia hujifunza mbinu za kuimarisha mchezo
Dah!Ndio kaangalie mwaya, hazili hata bando.
Tena unadownload moja kwa moja.