Madhara ya kufeli kwa bajeti ya Mwigulu tutayaona kwenye deni la Taifa

Madhara ya kufeli kwa bajeti ya Mwigulu tutayaona kwenye deni la Taifa

T moja itafikiwa vizuri tuu,impacts ya kukwepa sio kubwa,wiki hii yote Niko nafanya miamala na nikienda kwenye vibanda watu wamejaa sema hisia zako tuu.

Ni hivi ni rahisi kukwepa hii kodi kama uko ndani ya eneo unaloweza tumia njia mbadala kukwepa gharama lakini ukiwa mbali no way out lazima utumie na njia rahisi ni mitandao ya simu kuliko mabenki na bahati mbaya au nzuri WaTzn wengi hawana utamaduni wa kutumia mabenki,wanadhani mabenki ni kwa wenye nazo.
Kuwa mpole baada ya miezi mitatu mobile operators watachapisha financials.. tutathibitisha kila kitu..

Sitaki kubishana na wewe kwa sasa..
 
Kwa mimi nahisi kuna kitu kikubwa nyuma ya pazia( either kwa waziri au kwa mama).
 
Kabisa mkuu, nadhani kabla ya kuja na hivi vitu wangepaswa kwanza kufanya utafiti kuanzia chini halafu ndo waje na proposal zao, ila hichi kitu naona hakifanyiki hapa Tanzania, ni kama vile maamuzi yote ya bajeti yanaamuliwa juu.

Hongera sana pia kwa Kitabu... Nawezaje kukipata kama hutojali
Bado kidogo mkuu naamini kitasaidia wengi, Mungu akinijalia kitatoka mwezi wa 9 pia kuna uchambuzi kwanini biashasha zina kufa ama kufeli kwenye nchi zinazoendelea nanini kifanyike kwakutumia IPYANA analysis,by Ipyana Benny Haraba 'the analysis will help detect, internal and external critical determinants of uncertainty in business '
 
Back
Top Bottom