Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Usiendeshe ukiwa umelewaLete bia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiendeshe ukiwa umelewaLete bia
Ukisikiliza hiyo lugha utagundua Ni Zambia au ZIMBABWE
Kweil ngoja niweke mfano wa tarime hapo hii siyo proboxMakabila ya mkoa wa Mara wanapenda mwendo mkali, hasa wakurya. Mfano, pale tarime kuna gari ndogo nyingi za kwenda nyamongo, ukipanda hizo chuma ndio utaelewa. Kwanza zinajaza, mbele kwa dereva panajaza, dereva anakuwa kashikwa na mlango tu. Ukifunguka bahati mbaya ni kifo. Gari zinajaza watu hadi kwenye but.
Gari zenyewe ni probox na succeed.
Hii ni zaidi ya tandam.Kweil ngoja niweke mfano wa tarime hapo hii siyo proboxView attachment 2487044
abiriya walio wengi ni washambaIfike mahali abiria wanapo ona Dereva anaendesha gari mwendo ambao sio mzuri wajisimamie na waache kuja kusema mwendo ilikua mkali. View attachment 2486799View attachment 2486802
Kama kawaida utingo ndo anasusiwaIfike mahali abiria wanapo ona Dereva anaendesha gari mwendo ambao sio mzuri wajisimamie na waache kuja kusema mwendo ilikua mkali. View attachment 2486799View attachment 2486802
Hapo siyo Tarime mkuu, hakuna stendi ya hivyo Tarime. Ukifika pale gari ndogo nyingi ni probox na succeed. Hiace za kutafutaKweil ngoja niweke mfano wa tarime hapo hii siyo proboxView attachment 2487044
Nakuunga mkono mkuu,, kuna kipindi nimepanda gari la kampuni X ambalo ni maarufu sana,, kutoka mkoa X kwenda Dsm. Bana eeeh, dere alikuwa akiichapa kofi ile chuma. Cha ajabu ikapigwa mkono sehemu, traffic kaingia ndani akauliza vipi mwendokasi wa dereva, watu wanajibu upo sawa ilhali wakati kanyoosha goti kulikuwa na minong'onoWatz tu maf***la sana, huo ndo ukweli.
Panda gari halafu traffic asimamishe gari, sikiliza vizuri maneno ya abiria humo ndani..
hahaha nimecheka kinoma aisee, wengine wa back-bencha mpaka wanasimama kabisa
Acha kabisa. Kuna wengine wakati traffic anakuja utawasikia, 'wana njaa hawa!'. Cha ajabu hao wanaoongea hivyo wengine wanasafiri na ndala na wengine wananuka shombo la samaki huku unawaona kabisa wamegandwa na magamba ya samaki kiashiria kwamba wanatoka kwenye tenda ya upaaji wa samaki.Nakuunga mkono mkuu,, kuna kipindi nimepanda gari la kampuni X ambalo ni maarufu sana,, kutoka mkoa X kwenda Dsm. Bana eeeh, dere alikuwa akiichapa kofi ile chuma. Cha ajabu ikapigwa mkono sehemu, traffic kaingia ndani akauliza vipi mwendokasi wa dereva, watu wanajibu upo sawa ilhali wakati kanyoosha goti kulikuwa na minong'ono
Hii zimbabweImetokea Wapi Hiyo Isijekuwa Homes Syria Huko
PoleHii zimbabwe