Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...


Nakubaliana na wewe kiafya na kiimani Nguruwe hafai kabisa ni Uroho na urafi wawanadamu ndo unawafanya kuvagaa na visivyo halali! Mkuu nikuombe Pia uzungumzie mara ingine ulaji wa samaki na viumbe wa majini na pia wanyama wa nchi kavu kiimani na kiafya! Maana Ulaji wa pweza na makaa na Ngiri na viboko nautilia Mashaka!
 

aaaafffuuuu mbuzi si ndo anasababisha gauti...??? Huwasikii wakisema lolote.....
 
Kusema jambo bila kujua ni ujinga sana

Nyie hamjui hata maandiko yanasema nini
1 Timotheo 4:1-5

1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;
2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;
3 wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli.
4 Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani;
5 kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.



Kama hujui jambo ni bora ukauliza!!!!!!!!!!!

Endeleeni kufuata mafundisho ya mashetani!
 
Ngoja nimalizie kula hii kitimoto yangu hapa,nikimaliza ndio nije hapa kuisoma vizuri hii thread,
 
Ikiwa hivyo ndivyo basi kitabu chenu (Bible) kitakua kina tombesha maneno (kinaji kanganya) Maana kinaanza kukataza Nguruwe asiliwe, Kisha kina ruhusu kila mnyama naaliwe tu. Ndio maana Waislam tuna mashaka na hiyo dini yenu.
 
Ikiwa hivyo ndivyo basi
kitabu chenu (Bible) kitakua kina tombesha maneno (kinaji kanganya)
Maana kinaanza kukataza Nguruwe asiliwe, Kisha kina ruhusu kila mnyama
naaliwe tu. Ndio maana Waislam tuna mashaka na hiyo dini yenu.

mkuu hiyo lugha uliyotumia sidhani kama ni kiswahili fasaha, utakula ban bure tukumisi jukwaa letu lile.
Achana na kitimoto ndgu, tanu balaaa!
 
Ikiwa hivyo ndivyo basi kitabu chenu (Bible) kitakua kina tombesha maneno (kinaji kanganya) Maana kinaanza kukataza Nguruwe asiliwe, Kisha kina ruhusu kila mnyama naaliwe tu. Ndio maana Waislam tuna mashaka na hiyo dini yenu.

Hapo mi naimani ndugu yangu umeteleza ulimi kidogo kusema biblia ime....... maneno!
Lkn ni kweli kabisa. Upande mmoja Yesu anawakataza viti moto. Pombe, uliberali Mungu hana mtoto n.k!

Upande wa pili kuna PAULO nawruhusu vyoote hivyo na ni mtu wa kwanza kumpa cheo cha uungu yesu! Na kusema Mungu ana watoto!
Ndio maana wafuasi wa Yesu walikuwa wanaitwa wayahudi na hawa wanaitwa WAKRISTO!
 
Mtoa mada mbona umeruka Ngamia hiyo hiyo walawi 11:4... Unasemaje hahahahah
 
Kaaa ukijua hilo ni Agano LA kale...Paulo aliidhinisha vyote
 

Nina swali kwako mkuu! Huu walaka wa Paul kwa Timothy ulikua na maana gani na kwanini Paul aliandika hivo? Tukishajua nini kilijiri wakati ule mpaks Paul akaandika hivo basi uhalali wa kula vyakula tu kama ulivoyaandika hayo mafungu haupo!
 

Hayo mafundisho ya mashetani ni yepi?
 
Haujaambiwa uache kula, ila ujue ina madhara (kama yalivyo orodheshwa hapojuu) pia kama wewe ni mfuasi wa vitabu hivi Qur-an na Bible jua una fanya makosa kumla Nguruwe kwani vitabu vivyo vime kataza kumla mnyama huyo.
Biblia haijakataza kula "mbuzi mtakatifu" bana.

Imesema alaye asimdharau asiyekula na asiyekula asimdharau alaye, kwani "CHAKULA NI KWA TUMBO, NA TUMBO NI KWA AJILI YA MWILI NA VYOTE BWANA ATAVITOWESHA"

Pia imesema kila kimuingiacho mtu hakimtii mtu unajisi ila kimtokacho, kwa maana kila kiingiacho hupita katika mwili na mwisho husihia katika choo lakini humo(moyoni) ndimo kuliko na unajisi haswaa, maana huko kuna husuda, na uzinzi, na uchoyo na fitina na takataka zoote...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…