[h=2]
Re: Athari ya nyama ya KITIMOTO kiimani na kiafya[/h]
By Kitoabu 
Ikiwa hivyo ndivyo basi kitabu chenu (Bible) kitakua kina tombesha maneno (kinaji kanganya) Maana kinaanza kukataza Nguruwe asiliwe, Kisha kina ruhusu kila mnyama naaliwe tu. Ndio maana Waislam tuna mashaka na hiyo dini yenu.
Jiulize biblia ilikuwa ya nani kwaajili ya nini? Hata hiyo kuruwani ilikuwa na madhumni gani kuletwa huku? Kwani babu na bibi zetu waliokufa kabla ya vitabu hivi hawatapata uzima wa milele? Wale watu walikula hadi kitimoto poli sasa hivi tunafuga wenyewe mnalalamika yaani viko karibu na mafiga na kisu cha KUCHINJIA mnalalamika. Go to hell all colonized mind.