Gamboshi one
Member
- Sep 25, 2013
- 11
- 1
Kusema jambo bila kujua ni ujinga sana
Nyie hamjui hata maandiko yanasema nini
1 Timotheo 4:1-5
1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;
2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;
3 wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli.
4 Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani;
5 kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.
Kama hujui jambo ni bora ukauliza!!!!!!!!!!!
Endeleeni kufuata mafundisho ya mashetani!
Hayo mafundisho ya mashetani ni yepi?'