Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Kusema jambo bila kujua ni ujinga sana

Nyie hamjui hata maandiko yanasema nini
1 Timotheo 4:1-5

1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;
2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;
3 wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli.
4 Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani;
5 kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.



Kama hujui jambo ni bora ukauliza!!!!!!!!!!!

Endeleeni kufuata mafundisho ya mashetani!

Hayo mafundisho ya mashetani ni yepi?'
 
Ikiwa hivyo ndivyo basi kitabu chenu (Bible) kitakua kina tombesha maneno (kinaji kanganya) Maana kinaanza kukataza Nguruwe asiliwe, Kisha kina ruhusu kila mnyama naaliwe tu. Ndio maana Waislam tuna mashaka na hiyo dini yenu.
Ukishakuwa una dini tofauti na mwenzio basi ujuwe una mashaka na dini ya mwenzio...na ili muende sawa, lazima mmoja ahamie kwa mwingine...
 
Acha ushamba akili yako ilishaibiwa na waarabu kila kilicho chao unakiona ni kizuri ndio maana unawaiga kuanzia mavazi , lugha, kufuga midevu na kila kitu . ubongo wako wa ku reason umeuweka rehani .unasema inaharibu dushe mbopna wachina ndio wanaonoza kwa idadi ya watu duniani? au uo utafiti umeufanya kinyumenyeme kama maandishsh fulani?
Jamani jamani,tuache maskhara kabisa,mtasababisha watu wai WASTGATE JF mimi simo kabisa.
 
HUO MSTARI WA BIBLIA waliandikiwa wayahudi kutokana na ugumu wa mioyo yao..sawa we...? Biblia haisomwi somwi tu na wasabato na waislam.
Nguruwe, kuku, samaki...ni kati ya nyama zenye omega 3 fats ambazo zinapunguza uwezekano wa kupata maradhi ya moyo..ulaya na marekani, japan na china watakwambia...
Alafu, nyama ya ng'ombe(red meat)kwanza ndio inaongoza kwa matatizo ya kiafya kama kansa ya utumbo mkubwa..rift valley fever uneisahau?
Acha kupotosha we kama imani yako imekukataza sawa lakini msitake kujitafutia sababu za kujifariji kutokula nguruwe kwa kuikandia..SISI HATUTAKAA TUACHE, Na imeliwa miaka kedekede kabla hata wehu kama kina muddy hawajaja
 
ukitaka kujua kama hiyo nyama ya nguruwe haifai kabisa kwa matumizi ya binadamu hebu jaribu kufanya yafuatayo kabla ya kupika
1. Chukua nyama ya nguruwe robo kilo/nusu kilo(mbichi) halafu uiweke kwenye bakuli/sufuria
2. Chukua soda aina ya coca cola kama lita moja hivi halafu iloweke hiyo nyama kwenye hiyo coca cola
3. ifunike kwa muda wa kama dakika 40 hadi saa 1 ivi halafu ifunue uangalie
4. Nyama hiyo itatoa wadudu wa chooni/funza ambao wanaonekana kwa macho haihitaji darubin



Na mimi nakupa home work fanya hivyo hivyo kwa nyama ya Ng'ombe au mbuzi au kuku au nyama nyingine yeyote ambayo wewe unatumia halafu utaona kama utapata kitu cha tofauti na kile ulichokiona kwenye nguruwe.
 
Ikiwa hivyo ndivyo basi kitabu chenu (Bible) kitakua kina tombesha maneno (kinaji kanganya) Maana kinaanza kukataza Nguruwe asiliwe, Kisha kina ruhusu kila mnyama naaliwe tu. Ndio maana Waislam tuna mashaka na hiyo dini yenu.

Tehe tehe
 
mkuu hiyo lugha uliyotumia sidhani kama ni kiswahili fasaha, utakula ban bure tukumisi jukwaa letu lile.
Achana na kitimoto ndgu, tanu balaaa!
Basi nachukua nafasi kuwaomba radhi washkadau wote nio wakwaza kwa lugha niliyo tumia (kutombesha maneno) naomba muni samehe kwa Kutumia lugha isiyo faa.
 
Wanasema nyama ya mdudu huyu inaleta athari ya kwa wanaume wanashindwa kwenye mambo yetu yaleee
 
Hapo mi naimani ndugu yangu umeteleza ulimi kidogo kusema biblia ime....... maneno!
Lkn ni kweli kabisa. Upande mmoja Yesu anawakataza viti moto. Pombe, uliberali Mungu hana mtoto n.k!

Upande wa pili kuna PAULO nawruhusu vyoote hivyo na ni mtu wa kwanza kumpa cheo cha uungu yesu! Na kusema Mungu ana watoto!
Ndio maana wafuasi wa Yesu walikuwa wanaitwa wayahudi na hawa wanaitwa WAKRISTO!
Muni samehe kijana wenu nime teleza. Ila hawa wenzetu kitabu chao kina jikanganya sana.
 
Ikiwa hivyo ndivyo basi kitabu chenu (Bible) kitakua kina tombesha maneno (kinaji kanganya) Maana kinaanza kukataza Nguruwe asiliwe, Kisha kina ruhusu kila mnyama naaliwe tu. Ndio maana Waislam tuna mashaka na hiyo dini yenu.
Teh mkuu niependa hapo kwenye ku-tombesha

Huko kujikanganya mnasema ninyi maana nyie mnakariri ila sisi tunaelewa, hapo ndipo tofauti yetu na ninyi...
 
Binadamu wanapenda kujifanya wanajua zaidi ya Mungu.Maandiko yapo clear kabisa lakini bado hawataki. Jiandaeni kumjibu Muumba.
 
Teh mkuu niependa hapo kwenye ku-tombesha

Huko kujikanganya mnasema ninyi maana nyie mnakariri ila sisi tunaelewa, hapo ndipo tofauti yetu na ninyi...
Oooh!! Mkuu hiyo lugha hapa sio mahali pake.
 
Back
Top Bottom