Madhara ya kunyonyana Sehemu za Siri

Hii sio saratani ya Koo,. Ni bacteria wanaosababisha kunuka Kwa mdomo ,...inaitwa tonsil slits...Huwa zinatoka Kwa kunywa maji ya moto/uvugu vugu yalichanganywa na chumvi..ukiona Hali hii penda sana kubadilisha mswaki na pia uwe unatumia maji ya uvuguvugu yaliyochanganywa na chumvi
 
Tulia kijana, hizo picha nimetoa kwenye Website inayoelezea magonjwa ya Oral sex.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€tatizo unaunafki mwinginπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mimi nawe tuna tuzo ya unafiki tulia tulizanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hujanistua Kwa lolote jamaa picha zenyewe ni za wazungu watu walemavu wale shida kidogo tu wanapukutika kama kuku wenye kideri.
Joto likizidi kwao kero.baridi likizidi ni ni tatizo.
Sasa hao ni watu au photocopy



Matatizo kweli kweli/problem True True
 
Endelea na ubishi wako.

MCHUMA JANGA HULA NA WA KWAO.
 
Nilishawahi kunyonya dyudyu yule mtu aliachia wazungu jaman sijui ndio wale walinisababishia kupata kama vidonda, ila nilitumia oral mouth wash ikaisha kwa siku mbili. Nilikuwa sielewi kwa nini imetokea kwani kunyonya ni kitu cha kawaida na ni utamu sana. Ile reaction ilichukua siku moja kesho yake ndio nikapata hiyo na haijawahi kutokea before but nashukuru naendelea na mapambano lakini kunyonya sijui kama nitaacha jaman
 
Kuna mambo yanafurahisha sana...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…